ruaharuaha
JF-Expert Member
- Feb 14, 2018
- 3,554
- 3,750
Kuna issue Kati ya Iran, Saudi, Qatar ,UAE, Egypt. Nani awe kiongozi, mbabe, juu pale middle east.
Ndio maana wako pande tofauti kuhusu Yemen, Syria, Sudan, Libya, Palestine, Iraq, Afriganistan, Polisalio.
Pia kuna issue ya kihistoria kati ya Morroco na Algeria na Tunisia.
Mauritania weusi wote ni watumwa kabisa. Ni nchi moja inayoendeleza utumwa hadi leo kwa ngozi nyeusi. Yaani unarithi utumwa, kazi ya baba yako, babu yako.
Ndio maana wako pande tofauti kuhusu Yemen, Syria, Sudan, Libya, Palestine, Iraq, Afriganistan, Polisalio.
Pia kuna issue ya kihistoria kati ya Morroco na Algeria na Tunisia.
Mauritania weusi wote ni watumwa kabisa. Ni nchi moja inayoendeleza utumwa hadi leo kwa ngozi nyeusi. Yaani unarithi utumwa, kazi ya baba yako, babu yako.