Freyzem
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 10,053
- 24,446
Yes! Kufuatia ajali ya Lift iliyotokea Millenium tower imenifanya nikumbuke miaka kadhaa iliyopita yaliyokuwa yanatokea kwenye Lift ya yale mabweni ya udsm hasa Hall 5! Kwa waliopita hapo watakubaliana kuwa lift ilikuwa ni tatizo sugu!
Nakumbuka siku moja tumeipanda mara ikakwama katikati ya njia! Tulikaa kule ndani tunalowa jasho karibu lisaa, tukampigia mhusika akasema yupo posta tumsubiri, tulimiss lecture ile siku! Imagine ingekuwa UE.
Hakika watu waliriipoti lile tatizo lakini wala halikuwahi kushughulikiwa hadi namaliza, japokuwa nilihamia hostel za mabibo ila waliokiwa wanaishi pale walikuwa wakilalamika kila wakati!
Tunashukuru halijasikika tukio baya lakini kama tatizo lile bado lipo uongozi uchukue hatua stahiki mapema kurekebisha kabla hayajatokea mambo mabaya!
Na hili si kwa udsm bali kwa majengo yote marefu yanayotumia lift, kama zipo zenye shida sifanyiwe marekebisho ya uhakika la sivyo tutamsingizia mtu mchawi bure.
Nakumbuka siku moja tumeipanda mara ikakwama katikati ya njia! Tulikaa kule ndani tunalowa jasho karibu lisaa, tukampigia mhusika akasema yupo posta tumsubiri, tulimiss lecture ile siku! Imagine ingekuwa UE.
Hakika watu waliriipoti lile tatizo lakini wala halikuwahi kushughulikiwa hadi namaliza, japokuwa nilihamia hostel za mabibo ila waliokiwa wanaishi pale walikuwa wakilalamika kila wakati!
Tunashukuru halijasikika tukio baya lakini kama tatizo lile bado lipo uongozi uchukue hatua stahiki mapema kurekebisha kabla hayajatokea mambo mabaya!
Na hili si kwa udsm bali kwa majengo yote marefu yanayotumia lift, kama zipo zenye shida sifanyiwe marekebisho ya uhakika la sivyo tutamsingizia mtu mchawi bure.