Kufanya vibaya kwa Yanga tatizo ni kocha kuvaa Kikuku

kazikubwa

JF-Expert Member
Oct 8, 2010
597
145
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.
 
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.


Mmeanza wabongo kutafuta sababu za kitoto kuhalalisha kufungwa. Kwani Yanga ni nani asifungwe? Wakati mnafurahia ushindi mfululizo wa kagame na mechi za kirafiki kocha hakua akivaa kikuku/hereni?

Yanga ni kama timu nyingine zenye haki ya kushinda na kushindwa. Kiukweli Yanga haiko impressive kivile, ila defensively wako safi
 
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.
acha unafki weka hiyo picha akiwa amevaa kikuku,unamuonaga peke yako?
 
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.
Hapo kwenye red kama hujui usemalo better to shut your mouth.Ungekuwa mfuatiliaji usingeandika huo upuuzi
 
Sasa mmeanza kutafuta visingizio vya kumwokoa Manji! Tatizo lenu Yanga mnajua sana kusema zaidi ya kutenda. Ziko wapi tambo za juzijuzi kwamba mmeunda safu ya kumwangamiza mnyama? Nasema Manji atajutia kujiingiza katika siasa za simba na Yanga; klabu za uswahilini zinazoendeshwa kiswahili swahili. Kama anabisha asubiri muda upite au akamwulize Mzee Mengi kipi kilimsibu?
 
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.

Hivi mtu unavyoandia "USHUZI" kama huu unakuwa unafikiria kwa kutumia nini kichwa au Makalio yasiyosafishwa baada ya kupitisha haja kubwa?
 
Mlinilaumu sana kwa kutoa siri ya huyo kocha. Kwa taarifa yenu secretarieti yote ya yanga( Celestine Mwesiga-Katibu, Luis Sendeu-Msemaji na wenzake) imefukuzwa pamoja na kocha wake. Akavae kikuku kwao, hawezi kutuletea tabia za cameroon hapa nchini kwetu.
 
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.

Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.

Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.

Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.

My take:-

1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.

Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.
Mkuu na mavazi yake je? au huwa anavaa kama hivi;
 

Attachments

  • 40179_452443970378_764171_n[1].jpg
    40179_452443970378_764171_n[1].jpg
    24.7 KB · Views: 39
  • 409721_327420207347146_1726090002_n[1].jpg
    409721_327420207347146_1726090002_n[1].jpg
    39.6 KB · Views: 43
  • 564035_10151056345236880_318557902_n[1].jpg
    564035_10151056345236880_318557902_n[1].jpg
    25.2 KB · Views: 46
Hivi mtu unavyoandia "USHUZI" kama huu unakuwa unafikiria kwa kutumia nini kichwa au Makalio yasiyosafishwa baada ya kupitisha haja kubwa?
Na anayesoma ushuzi huwa anasoma kwa kutumia nini? jicho lililoliwa kagera au 0754?
 
Hapo kwenye red kama hujui usemalo better to shut your mouth.Ungekuwa mfuatiliaji usingeandika huo upuuzi
Hapa hatuongei kwa mdomo, hapa ni kuacha vidole vitembee mwisho wa siku ujumbe umfikie mlengwa. Ingekuwa kuchonga kwa mdomo na kwa hasira uliyokuwa nayo pengine sasa hii ungekuwa unatoa povu mdomoni.
 
Of all ze pipo wewe ndo unauliza haya ??? Umeshasahau juzi tu wakati unajifanya kutangaza mechi ya Oljoro na Mnyama ulikuwa unaandika nini ..?? Zipo wapi sasa hizo ngebe za akina Tuti, Kazingumu na akina bojo Kiiza ??

Hivi mtu unavyoandia "USHUZI" kama huu unakuwa unafikiria kwa kutumia nini kichwa au Makalio yasiyosafishwa baada ya kupitisha haja kubwa?
 
Mtasema kila kitu, lakini soka itabaki kuwa soka ''...yaani kuna kushinda na kushindwa''
Mbona hamkubali mkizidiwa kimpira na Simba SC acha maneno ya mfa maji hayo, unatia huruma maskini. Mkishinda kamechi kamoja tu tena kwashida utasikia ngebe nyingi " ndiyo tumeanza ligi". Mtaanza ligi kila siku wakati Simba SC tumeshaanza biashara mapema jioni ikifika mahesabu.
 
Back
Top Bottom