kazikubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 597
- 145
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni alipofika nchini alikuwa amevaa kikuku, hili ni pambo la jinsia fulani hapa nchini.
Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.
Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.
Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.
My take:-
1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.
Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.
Wazee walimkalisha chini na kumweleza kuwa kwa utamaduni wa nchi hii pambo hilo lina maana mbaya sana hasa akizingatia jinsia yake. Kocha huyo akaziba pamba masikio yake. Wachezaji hawampendi kwa tabia hiyo kwani wanaona kama wanadhalilishwa.
Walimvumilia katika michezo ya Kagame lakini sasa maji yamewafika shingoni. Ona ilivyokuwa huko Mbeya, alilazimisha wachezaji kulala wawili katika chumba kimoja huku yeye akimchagua beki Mwasika chumbani mwake.
Kutokana na kutokuwa na dalili ya kocha wao kuacha kuvaa kikuku, wameamua kuunda zengwe la kufungwa mechi zote hadi hapo kocha atakapo timuliwa. Jambo hili wakilijua watani zetu sijui nyuso zetu tutaweka wapi.
My take:-
1. Uongozi ulichunguze jambo hili na kulichukulia maamuzi mapema sana.
2. Uongozi ujue kuwa wapenzi tunaumia na wanatutia wasiwasi tarehe 03 Octoba tukikutana na Mnyama.
Wenye picha ya jamaa akiwa ametinga kikuku tafadhali aitupie humu jamvini.