Kufuatia kitendo cha rais kuongeza wiki moja zaidi katika zoezi la sensa huku M4C ikitegemewa kuanza tena jumapili(September 2).
Wadau ningependa kujulishwa kama kuendelea huko kwa zoezi la sensa kutaenda sambasamba na kuendelea kwa lile zuio la serikali dhidi ya mikutano ya Chadema ya M4C ama la?
Wadau ningependa kujulishwa kama kuendelea huko kwa zoezi la sensa kutaenda sambasamba na kuendelea kwa lile zuio la serikali dhidi ya mikutano ya Chadema ya M4C ama la?