JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,022
Mbunge wangu wa jimbo la Butiama yu wapi? Je tetesi zikoje huko jimboni kwetu atarudi au kuna watu wameweka nia tayari.
..Makongoro Nyerere.
Mbunge wangu wa jimbo la Butiama yu wapi? Je tetesi zikoje huko jimboni kwetu atarudi au kuna watu wameweka nia tayari.
Mzee wa kofia nyekundu kachoka au ameamua kupumzika?..Makongoro Nyerere.
Hizi ni tetesi brother siyo official. Huijui Manchester United wewe linapokuja suala la usajili wanahusishwa na kila mchezaji hadi Boniphace Maganga.Nashauri Uongozi wa CCM Taifa uchukue hatua za kumkataza mtoa huu uzi nadhani analeta Uchochezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
UKONGA
FIELD MARSHAL PAUL MAKONDA....Twendeni nae
K vant
Itabidi avuliwe ubunge kama lissuMbunge wangu wa jimbo la Butiama yu wapi? Je tetesi zikoje huko jimboni kwetu atarudi au kuna watu wameweka nia tayari.
Yuko wapi nina muda sijasikia habari zake.Itabidi avuliwe ubunge kama lissu
Cc Humphrey Polepole
Haonekani jimboni, bungeni, nyumbani kwake.Yuko wapi nina muda sijasikia habari zake.
Sisi ni wa Mola.....Mzee wa kofia nyekundu kachoka au ameamua kupumzika?
Umemuona wapi kati ya hizo sehemu ulizoainisha.Haonekani jimboni, bungeni, nyumbani kwake.
Miakili mingi wewe!Usihamishe goli mnilyamba, kukosa nafasi ya kuwauliza maswali means hawataniwakilisha kama ambavyo hawaniwakilishi.
Eti uchochezi, hii ni democracy, isitoshe ni tetesi.Nashauri Uongozi wa CCM Taifa uchukue hatua za kumkataza mtoa huu uzi nadhani analeta Uchochezi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ndiyo wasema mapema, kuna watu kutokana na vyuma kukaza, wanaona ubunge unalipa and vise versa is true.mapema hivi jamani