johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,977
- 141,988
2025 Uchaguzi mkuu utakuwa Huru na wa Haki
Ni Vyama vitatu tu Ndio vitatoa ushindani wa kweli ambavyo ni CCM, Chadema na CUF
ACT wazalendo itamezwa na CCM huku Tanganyika na Kule Zanzibar CUF itarejesha nguvu zake
Heri ya Mwaka Mpya
Kazi Iendelee
cc: Mzee Mgaya
Ni Vyama vitatu tu Ndio vitatoa ushindani wa kweli ambavyo ni CCM, Chadema na CUF
ACT wazalendo itamezwa na CCM huku Tanganyika na Kule Zanzibar CUF itarejesha nguvu zake
Heri ya Mwaka Mpya
Kazi Iendelee
cc: Mzee Mgaya