desertfox
JF-Expert Member
- Oct 4, 2014
- 347
- 243
mkuu hamy-d, nimeuliza swali specifically kwa jj mnyika kwamba chadema siyo dhaifu? Mbona hadi leo hatuwajui watiania wao wa urais? Sasa mods wamenileta huku kwako nadhani wewe una majibu, mjibie mnyika tafadhali narudia tena, je chadema ni dhaifu?
siasa inahitaji tyming na busara sio kukurupuka huez mfananisha 6 na dr afu 6 kachuja