Kuchepuka raha

Mungu hapendi akifanya mwanamke eeeh?

Nafikiri nashindwa kujieleza hivyo unapata shida kunielewa! Katika ujumbe wa mwanamke ninayemjibu, nitamwingizaje mwanaume?! Mungu ameingia hapo kwasababu yeye anaona uovu wa mwanamke huyu. Na mwanaume akisema,atapewa maneno yake na Mungu ataingia katika maneno hayo.
 
shukuru Mungu wako sijakuoa mimi huo mdomo ningeuweka super glue.


sio na jipa moyo najiamini maisha yangu huyajui wewe Mrs bogasi.


sijui mnawapata wapi wanaume wa hivyoo kuwaendesha na kushindana
Mr bogasi kwani mi unanijua?
Hata ukiumia kutmbewa hakuepukiki kama nakuona nadhani tangu juzi umenuna huko ndani, vishavu kama vipulizo vya ubarikio
 
hahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !
yeye peke yake manake ameshinda humu!

kama ni simu sijui muda gani kamtakia hata hali mkewe!
yet anajipa moyo HACHEPUKI,sijui mimi mwanamke hanifanyii huu ujinga!
AHAHAHAHHAHAA hakyanani!
Hapo mchepuko ushamsabahi mke wa jamaa, ushamtakia asubuhi njema na lundo la mabusu
 
Nafikiri nashindwa kujieleza hivyo unapata shida kunielewa! Katika ujumbe wa mwanamke ninayemjibu, nitamwingizaje mwanaume?! Mungu ameingia hapo kwasababu yeye anaona uovu wa mwanamke huyu. Na mwanaume akisema,atapewa maneno yake na Mungu ataingia katika maneno hayo.
Sasa mbona hayo maneno ya Mungu huwa mnayakumbuka akichepuka mwanamke tu,yaani mnajikuta wachungaji ghafla. Ila akichepuka mwanaume weeeee!! Hadi na njia nzuri za kuchepuka na asigundulike mnampa.

Hebu msiwe wabaguzi bwana, nasie mtupe hizo njia.
 
Nimeona humu jf kuna mademu wamekuunga mkono saaaana. Ikumbukwe humu kuna watu wenye tabia kama za kwako, wengine waliolewa wakaachika, wengine ni waathirika wa vvu; hivyo wangependa kupata wafuasi wengi. Comments zao zimnipa picha ya nani humu ana tabia kama ya kwako. Mwanamke mwenye busara hashinadani na mwanamume kufanya uzinzi bali hutulia akimuombea mumewe aache tabia hiyo.
MBONA MNAMLISHA MANENO DADA WA WATU? HAJASEMA ANASHINDANA.... ILA KAKOSA HUDUMA NDANI NDO KAAMUA AKAITAFUTE bahati nzuri kakutana na huduma yenye kiwango cha lami
 
Watuu wachepukeee...!! Kila mtu ana chepukaa sema tu shida Ukijulikanaa... Ilaa kuchepuka rahaa sanaa...
 
Sasa mbona hayo maneno ya Mungu huwa mnayakumbuka akichepuka mwanamke tu,yaani mnajikuta wachungaji ghafla. Ila akichepuka mwanaume weeeee!! Hadi na njia nzuri za kuchepuka na asigundulike mnampa.

Hebu msiwe wabaguzi bwana, nasie mtupe hizo njia.

Weka japo comment yangu moja hapa inayomtetea mwanaume anayefanya uovu kama wa huyu mama anayejisifu hapa mtandaoni. Uovu siku zote ni mbaya unapofanywa na mtu yeyote mwenye akili timamu. Kwanini unapenda kuonyesha kuwa anachokifanya mtoa hoja ni halali kwasababu tu hata mume wake anafanya? Ni ujinga kufanya mashindano katika kufanya uovu!
 
Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.

Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.

Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.

Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!

Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!

Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Hongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.

Kuna shida kubwa kuchepuka wengine tumechepuka tukakutana na hayo tumeona ni ujinga tumeamua kuvumilia kama wewe unashangilia kaza mwendo
 
Back
Top Bottom