ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,670
- 90,156
Eeeeh, wewe na Heaven Sent, kuchepuka mwiko kwenye ndoa zenu na Mungu asimame.Kwakweli innocent angels bado tupo wengi tu
Eeeeh, wewe na Heaven Sent, kuchepuka mwiko kwenye ndoa zenu na Mungu asimame.Kwakweli innocent angels bado tupo wengi tu
Mungu hapendi akifanya mwanamke eeeh?
Mr bogasi kwani mi unanijua?shukuru Mungu wako sijakuoa mimi huo mdomo ningeuweka super glue.
sio na jipa moyo najiamini maisha yangu huyajui wewe Mrs bogasi.
sijui mnawapata wapi wanaume wa hivyoo kuwaendesha na kushindana
Eeeeh, wewe na Heaven Sent, kuchepuka mwiko kwenye ndoa zenu na Mungu asimame.
Sasa mbona anatuambia mumewe anagonga sana nje. Huko nje anawezaje kuwahudumia? Na wewe ndio wale wale!!!Ukiona mke anakukimbia na kuchepuka ujue umeshindwa majukumu yako ya kindoa.
Hapo mchepuko ushamsabahi mke wa jamaa, ushamtakia asubuhi njema na lundo la mabusuhahahahahhahahhHHH huu muda amekaa na anabishana na sisi tuko kama sita tunapokezana !
yeye peke yake manake ameshinda humu!
kama ni simu sijui muda gani kamtakia hata hali mkewe!
yet anajipa moyo HACHEPUKI,sijui mimi mwanamke hanifanyii huu ujinga!
AHAHAHAHHAHAA hakyanani!
Sasa mbona hayo maneno ya Mungu huwa mnayakumbuka akichepuka mwanamke tu,yaani mnajikuta wachungaji ghafla. Ila akichepuka mwanaume weeeee!! Hadi na njia nzuri za kuchepuka na asigundulike mnampa.Nafikiri nashindwa kujieleza hivyo unapata shida kunielewa! Katika ujumbe wa mwanamke ninayemjibu, nitamwingizaje mwanaume?! Mungu ameingia hapo kwasababu yeye anaona uovu wa mwanamke huyu. Na mwanaume akisema,atapewa maneno yake na Mungu ataingia katika maneno hayo.
Asichapiwe kwani ana undugu na Yesu!!Mr bogasi kwani mi unanijua?
Hata ukiumia kutmbewa hakuepukiki kama nakuona nadhani tangu juzi umenuna huko ndani, vishavu kama vipulizo vya ubarikio
MBONA MNAMLISHA MANENO DADA WA WATU? HAJASEMA ANASHINDANA.... ILA KAKOSA HUDUMA NDANI NDO KAAMUA AKAITAFUTE bahati nzuri kakutana na huduma yenye kiwango cha lamiNimeona humu jf kuna mademu wamekuunga mkono saaaana. Ikumbukwe humu kuna watu wenye tabia kama za kwako, wengine waliolewa wakaachika, wengine ni waathirika wa vvu; hivyo wangependa kupata wafuasi wengi. Comments zao zimnipa picha ya nani humu ana tabia kama ya kwako. Mwanamke mwenye busara hashinadani na mwanamume kufanya uzinzi bali hutulia akimuombea mumewe aache tabia hiyo.
Hivi unadhani nje huwa wanajali kama una kibamia au mguu wa mtoto basiii!! Huko wao wanaangalia mfuko wako tu.Sasa mbona anatuambia mumewe anagonga sana nje. Huko nje anawezaje kuwahudumia? Na wewe ndio wale wale!!!
Hatuwalaumu tunawatakia mlo mwema hukoteh teh teh ivi nyie mnaishi dunia ipi?
kwa mawazo hayoo wanaume zenu wakila njee ata msiwalaumu.
Amen brod darling. Mungu atusimamie sisi na waume zetuEeeeh, wewe na Heaven Sent, kuchepuka mwiko kwenye ndoa zenu na Mungu asimame.
Hizo takwimu za "kila mtu anachepuka" umezitoa wapi???Watuu wachepukeee...!! Kila mtu ana chepukaa sema tu shida Ukijulikanaa... Ilaa kuchepuka rahaa sanaa...
Kama una demu akoo anza kumchunguza... Soma msg zake.. Ingia kwenye acc zake za social media then utajuaa...!!Hizo takwimu za "kila mtu anachepuka" umezitoa wapi???
Sasa mbona hayo maneno ya Mungu huwa mnayakumbuka akichepuka mwanamke tu,yaani mnajikuta wachungaji ghafla. Ila akichepuka mwanaume weeeee!! Hadi na njia nzuri za kuchepuka na asigundulike mnampa.
Hebu msiwe wabaguzi bwana, nasie mtupe hizo njia.
"hakuonekana ana binti, hakuwahi kuiasi dini,mfuasi mzuri wa maadili.... lakini alikufa kwa ngoma "UKIMWI JAMANI BADO UPO
Hongera Dada kaza Mwendo kama umepata raha huko, ila nakushauri hamia uko.Toka niolewe miaka mingi tu toka niolewe sijawahi hata kuwaza kuna siku ntakuja kuchepuka, nilimpenda sana mume wangu.
Tatizo mwanaume huyu amekua jipu maana sio kwa umalaya huu na majibu ya karahaa. Hajawahi kuniambia samahani na mara zote nimemkuta na ushahidi na nilichokua nahitaji ni kuniambia samahani tu.
Ila kwanza ukimkuta kwanza ananuna hata mwezi hakusemeshi, hakugusi kosa lake ila ndio anakugeuzia wewe kibao.
Nimetafakari nikaona ya nini kujitia jakamoyo na mimi natongozwa. Nimejichukulia zangu mzigo loh! Si kwa raha hizi sijui hata nilichelewaga wapi mie!
Nimejiona mjinga kweli yaani baada ya kuchepuka nimekuja kujiona bonge la mjinga kumbembelezaga na kulilia kadudu kake kumbe kabamia hata hajui kitu kumbe!
Sasa hivi tunaenda sawa tu hakuna ugomvi raha tupu, asiponigusa nashukuru, zamani ningeumia. Asiporudi nyumbani naagiza soda nakunywa.
Basi siku ya mwisho hakuna hukumu kama na wewe ni mmoja wao. Ukoswe hata kwa kosa la kunena?Kwakweli innocent angels bado tupo wengi tu