Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,153
- 159,076
Aaah kule ndio kwa kujiachia bwana, naanzaje kujibana bana sasa!! Kule ndio kwa kukunjwa vizuri kabisa, yaani ukitoka hapo hata ukipulizwa tu unaanguka kwa jinsi unavyokuwa mwepesiiii.
I guess kwa mchepuko unakukuruka sana, mechi za ugenini lazma ujitume