Kubwa Kuliko...!

Kuna wengine wanajidai wanaongea american english kumbe hawajui eg. I wanna go....=i wanna going......
Jamani kuna wengine wanasikia tu mmarekani anaposema shawty afu anajifanya na ye anajua mwambie aandike utaona hiki kitu shory hapo anajiona bonge la mtu hat wasanii wapo wa dizaini ka hiyo
 
Back
Top Bottom