South
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,514
- 5,137
Risasi 25 mlango wa nyuma? Naomba mwenye ile picha ya gari atuwekee. Hatari.
Risasi 25 mlango wa nyuma? Naomba mwenye ile picha ya gari atuwekee. Hatari.
Ni three dimensional we huwezi kuelewaissue ya ulimboka mbona gwajima aliwachana live aibu tupu kwa kamanda wa polisi aliyetunga movie
Ujambi umetoka na jivi, usirudie kujikamua ukidhani unajamba.Kila mtu msemaji wa Lissu, si tuliambiwa Lissu katamka maneno kumi na mbili tu...sasa hayo Kubenea umeyatoa wapi....
jitambue wewe! Kumbe nia na lengo lenu ni kuwaeliminate wanaowakatisha tamaa wapambanaji wa rasilimali za nchi ili waache kutumika na mabepari?Awa waropokaji wanaokatisha tamaa wapambanaji wa raslimali za nchi dawa yao ishajulikana mwendo ni huu huu watu msiojulikana mpaka waache kutumika na mabepari.
Soma hio habari hapo juu inasema WAMEPIGA RISASI 25 MLANGO WA NYUMA.
siti ya nyuma mlango wake una matundu kadhaa ya risasiJamani risasi 25 mlango wa nyumaView attachment 585687 zimepita wapi? Au kuna gari lingine sio hii black VX? Tecno yangu sioni matundu 25...
Ulitaka kusikia amekufa, roho zingine dah.ndo breaking news au kuna nyingine?
Nimeyaona matundu kadhaa lakini habari hii inasema matundu 25!siti ya nyuma mlango wake una matundu kadhaa ya risasi
nahisi ujumbe umepokelewa vibaya ila naona matundu hapo mlango huo wa nyuma kwenye siti ya abiria
!Yves V!
MajiraChanzo: Mwanahalisi au Tanzania Daima?
labda lisu kesha waambiaNilitegemea yote yaliyotokea kuhusu shambulio basi muhusika ambaye ni Tundu Lissu atakuja kuongea mwenyewe may be kabla ya kuhojiwa na Polisi au hata baada ya kuhojiwa na Polisi maana yeye na Driver wake ndiyo main characters wa tukio hili.
Sasa kwa kuanza kusikia tena kutoka kwa Mh Sued Kubenea kusema Mh Tundu Lissu anawajua kwa sura na walimfuatilia toka Tegeta mpaka Dodoma ameyatoa wapi wakati Lissu Ndo kwanza ameongea Jana maneno 12.
Hii ongea ongea ndiyo huwa inaharibu hata ushahidi wa kweli wa tukio na sidhani kama Kubenea ametumwa na Tundu Lissu kuongea hayo.
Tuviache vyombo vya Dola vifanye kazi yake na kama una ushahidi wowote wa tukio basi hima upeleke Polisi ili usaidie kuwapata hao wahalifu.
afanye mara ngapi>???lissu si alishawataja na hadi namba za gari aliwatajia....hilo gari au mmiliki wake mmeshawahi kumtafuta??? danganyeni wajinga tu..Damu ya lisu haipotei bureSasa kama ndohivyo kumbe ni kazi rahisi kuwapata hawa watu wasiofahamika kuna haja gani ya kuweka conditions kuwa kama police wakiwakamata basi lissu atawajua akati anawafahamu waliomshambulia mimi ningependa hili swala lisichukuliwe kisiasa sababu kulichukulia kisiasa basi mwisho wake siyo mzuri kwahyo lissu kama anawajua awaweke hadharani ili police wakawakamate tuuu maana mim mwananchi wa kawaida nina hamu sana ya kujua ni nani aliyenda huu unyama kwa lissu pengine huenda ikawa mwanzo mzuri wa kumpa ben saanane
Nimeisoma ila hii gari haionyeshi mlango wa nyumaSoma hio habari hapo juu inasema WAMEPIGA RISASI 25 MLANGO WA NYUMA.