Madame B
JF-Expert Member
- Apr 9, 2012
- 29,976
- 32,276
umefunga mjadala,endelea mdogo*2 nitakuja mida nikujoin,order na k/moto bill on me
Dah!
Umenikumbusha mbali sana.
Maisha haya,acha tuyavalie msuli.
umefunga mjadala,endelea mdogo*2 nitakuja mida nikujoin,order na k/moto bill on me
Yan sitaki kuelewa afu wamejikausha haina mbaya subiria tuu bomu litalipuka mbona
Unajitahidi sana kunikwepa eti eeh?
But refar the floor'race destine will be ....?
Nway za umeamkaje ?
Si lazima kila jembe liwe na mpini.
Jembe likipotea,mpini utachomekwa nini? Reki?
Shoga= Reki
Tuko pamoja mtoa mada?
so!....what next....?
mmmmh inaonekana kwa kipindi hiki nilichokua off kuna majanga yametokea hapa jf chitchat eeeeh mana mara naona wengine wanaambiana wanakwepana, mara mwingine jembe mara mpin wat is happening hapa mbona majangaaa.
Mie sijakukwepa judgement, we ungetilia maanani siku ile nilivokwambieni tukutane..........kama nisinge appear ndo ungenilaumu!!
BTW, mi sijambo kabisa!
Vipi hali yako??
Alafu hapo blue hebu nidadavulie basi.....
Be calmy! Ma'wife! Ukiona vimetiririshwa hapa kwa public hua havina impact more!
Hawa akina Kipipi, King'asti watani wangu kitamboje! Wazoee kiivo!
Na pia sometyms washauri wangu wasikupokonye usingizi !
Sawasawa ?
Sawa nilikua najarribu kuchunga mzigo wanguUsipate presha buree mpendwa wangu,
mie sinaga sifa ya kuiba mume wa mtu!
Tafadhali chipenzi usijenilipulia bomu........
Haa haa ! Kimodo mambo ?
Ni kweli wakati Erick52 amekuja Mwz hukuweka open ratibazo!
Nway hiyo agenda ishaachwa na wakati !
Tutajipanga dayz forwd!
Hapo kwenye blue ni nilikua nakujaza presha tu , kwani leo nimekua mgeni kwa miondoko hiyo ?
Naona mama chanja ana efbiai ! Pasipo!
Btw nishamfahamisha uhalisia, na kwakua ni muelewa sina nae shaka ataelewa!
Sawa nilikua najarribu kuchunga mzigo wangu
Wa kulima wewe? Sina hakika kama kilimo kinapatikana!Sawa bana ila sijui ni lini nitakuwepo tena..........labda mpaka msimu wa kulima upite!
Duh...mama watoto wako ni nooooma!!
Hivi tukikualika maeneo uje peke yako....utakuja kweli wewe au ndo tutaambulia chongo tu??? manaake mmmmmhhh??????
?
Wa kulima wewe? Sina hakika kama kilimo kinapatikana!
O/wise mama chanja nadhani may b ki'zaigot kichanga hua kinakuja kinamna labda!
Coz two moons NASA haja'attend !
Wala hana tabu.
Sasa kumbe nani tu ndo anafaa kulima??
We kama mkeo halimi basi mie nalima!! Mtoto wa mkulima mimi jembe nalishika vizuri saana.
Huna ajira/ujuzi utakaa tu ule nini?? Malimao????
Ilihali umekuzwa na jembe..........unan'shangaza!!
hahahahaaaaa
kumbe ni kazygote ndo kanaleta makashkash!!
Basi poa....
Sawa nilikua najarribu kuchunga mzigo wangu
Bora umesema unajaribu. Zigo lenyewe hilo la misumari wifi yangu, huna wa kukupokea. Mashangilio yote siku ile unaolewa tulikuwa relieved manake tulijua kadoda. Mwenetu anaendeleaje? Ntakuletea miwa wifi, kesho.
Haijalishi iwe only jembe lake!
Hata kwenye jembe la neighbor twende kazz!
Si ningekuona maisha plus ?
Mama shujaa la msosi ?
Na ungejuaje kama ndo mimi??
BTW, kila mtu na nafasi yake.....sio lazima wote tuonekane sehemu moja!!