Kubadili Knowledge kuwa pesa ni tatizo la Watanzania wengi sana

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Watu wengi ni maskini , hawana pesa kwasababu wamekosa ubunifu au mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa. Wengi wenye ujuzi (skills) wana pesa.

Unakuta mtu vyeti vyake kuanzia form 4, 6 hadi Chuo Kikuu vina A+ za kutosha. Amefaulu kweli kweli kwenye makarasi! Akiingia mtaani maisha yanamtwanga na A zake za kwenye makaratasi.

Unakuta mtu ana Car Wash , Workshop ya kuchomelea, kuranda mbao, anasaga na kukoboa mahindi ana pesa nzuri na maisha yake yapo safi kabisa.

Ukiweza kuutegua mtego wa kubadili knowledge kuwa pesa, umetoka ndugu yangu.
 
Screenshot_20210719-152814_Instagram.jpg
Hili nalo uliangalie.
 
Watu wengi ni maskini , hawana pesa kwasababu wamekosa ubunifu au mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa. Wengi wenye ujuzi (skills) wana pesa.

Unakuta mtu vyeti vyake kuanzia form 4, 6 hadi Chuo Kikuu vina A+ za kutosha. Amefaulu kweli kweli kwenye makarasi! Akiingia mtaani maisha yanamtwanga na A zake za kwenye makaratasi.

Unakuta mtu ana Car Wash , Workshop ya kuchomelea, kuranda mbao, anasaga na kukoboa mahindi ana pesa nzuri na maisha yake yapo safi kabisa.

Ukiweza kuutegua mtego wa kubadili knowledge kuwa pesa, umetoka ndugu yangu.
Wewe umetobowa? Au tunasurubika wote?
 
Hilo sio tatizo la watanzania peke yake ni tatizo la dunia nzima ndio matajiri waliobadiri knowledge kuwa hela ni wachache kuliko waliorithi, na waliopata mitaji kupitia ajira.
 
Ukweli mchungu, maisha ni fumbo kubwa. Mtu kasoma mpaka chuo kikuu, akirudi anamkuta aliyemwacha form four ameshakuwa na maisha yake mazuri, huyu wa chuo ndo ananza kufikiri cha kufanya baada ya kusotea ajira za kuajiriwa na kukosa
 
Watu wengi ni maskini , hawana pesa kwasababu wamekosa ubunifu au mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa. Wengi wenye ujuzi (skills) wana pesa.

Unakuta mtu vyeti vyake kuanzia form 4, 6 hadi Chuo Kikuu vina A+ za kutosha. Amefaulu kweli kweli kwenye makarasi! Akiingia mtaani maisha yanamtwanga na A zake za kwenye makaratasi.

Unakuta mtu ana Car Wash , Workshop ya kuchomelea, kuranda mbao, anasaga na kukoboa mahindi ana pesa nzuri na maisha yake yapo safi kabisa.

Ukiweza kuutegua mtego wa kubadili knowledge kuwa pesa, umetoka ndugu yangu.
Yaah wewe ndio exactly umeona tatizo mimi nadhani pia km unaelewa zaidi ungekuja na thread ya mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa tukajadili humu jf..
Hongera sana kwa kuandika hii kitu..
 
Watu wengi ni maskini , hawana pesa kwasababu wamekosa ubunifu au mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa. Wengi wenye ujuzi (skills) wana pesa.

Unakuta mtu vyeti vyake kuanzia form 4, 6 hadi Chuo Kikuu vina A+ za kutosha. Amefaulu kweli kweli kwenye makarasi! Akiingia mtaani maisha yanamtwanga na A zake za kwenye makaratasi.

Unakuta mtu ana Car Wash , Workshop ya kuchomelea, kuranda mbao, anasaga na kukoboa mahindi ana pesa nzuri na maisha yake yapo safi kabisa.

Ukiweza kuutegua mtego wa kubadili knowledge kuwa pesa, umetoka ndugu yangu.
Na lawama zao ni kwa Mwigulu na tozo.
 
Watu wengi ni maskini , hawana pesa kwasababu wamekosa ubunifu au mbinu za kubadili knowledge kuwa pesa. Wengi wenye ujuzi (skills) wana pesa.

Unakuta mtu vyeti vyake kuanzia form 4, 6 hadi Chuo Kikuu vina A+ za kutosha. Amefaulu kweli kweli kwenye makarasi! Akiingia mtaani maisha yanamtwanga na A zake za kwenye makaratasi.

Unakuta mtu ana Car Wash , Workshop ya kuchomelea, kuranda mbao, anasaga na kukoboa mahindi ana pesa nzuri na maisha yake yapo safi kabisa.

Ukiweza kuutegua mtego wa kubadili knowledge kuwa pesa, umetoka ndugu yangu.
Yohadiaya
 
Back
Top Bottom