jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nashangaa sana tena sana kuona hawa mashabiki wa Ukaawa wanavyokubali kugeuzwa mawazo yao mithili ya chapati iliyowekwa kwenye chuma cha moto.
Yaani leo wanaletewa hili kesho wanaletewa lile ....halafu wao hata hawaulizi wala kukumbushia na ndio maana walipachikwa lile jina la wanyama Nyumbu.
Mwezi wa Tano KUB aliwaahidi Nyumbuz kuwa atawataja wanaohujumu uchumi hata kama wamo ndani ya Chadema ...miezi takriban minne baadaye anajidai mkaali na vitakwimu feki vya hali ya uchumi....
Kwa niaba ya Nyumbu namuuliza KUB kuhusu hii ahadi ya kututajia wahujumu uchumi ...kama kweli yeye ni mzalendo aliyekuwa na orodha ya wahujumu uchumi na leo hii ameleta data za kuanguka kwa uchumi basi atimize hii ahadi yake.
UKAWA kuwataja wahujumu uchumi bila kujali vyama
Yaani leo wanaletewa hili kesho wanaletewa lile ....halafu wao hata hawaulizi wala kukumbushia na ndio maana walipachikwa lile jina la wanyama Nyumbu.
Mwezi wa Tano KUB aliwaahidi Nyumbuz kuwa atawataja wanaohujumu uchumi hata kama wamo ndani ya Chadema ...miezi takriban minne baadaye anajidai mkaali na vitakwimu feki vya hali ya uchumi....
Kwa niaba ya Nyumbu namuuliza KUB kuhusu hii ahadi ya kututajia wahujumu uchumi ...kama kweli yeye ni mzalendo aliyekuwa na orodha ya wahujumu uchumi na leo hii ameleta data za kuanguka kwa uchumi basi atimize hii ahadi yake.
UKAWA kuwataja wahujumu uchumi bila kujali vyama