Kuanzia leo tarehe 30/4/2017 naacha porn na kujichua

Wanaotangaza hua hawaachi!! Usisahau kutupa mrejesho mkuu




nakwambia naacha kuanzia leo,,hivi ndo nimetoka kwnye website ya porno for last tme,,n leo jioni anakuja mdada kunipooza,,analala kwangu leo
 
habari waungwana wa jukwaa letu pendwa?
kwanza kabisa ifahamike kua nina account mbili humu ndani ambapo ile ninayoitumia sana imenijengea jina kubwa sana humu especialy kwenye comments,wadada wanaijua sana ile ID,so thread ambazo zinani undermine kidogo natumia ID hii.
TOPIC;
Nimekua nikiangalia sana porn mda mwingine naishia kujichua,hii imepelekea matatizo ya kuwahi kumwaga nikiwa na madem kitandani,,,wiki mbili zilizopita nilianza programme maalum ya kufanya mazoezi ya mbio ndefu asubuhi pamoja na kuzingatia mlo ili kurejesha ule umahiri wangu,,kuhusu porn ni kwamba nimeangalia kwa usongo sana nikiwa na lengo la kuacha mwsho wa mwezi april,so kuanzia may sitaangalia tena na nimeapa ndani ya moyo wangu.
NITALETA MREJESHO BAADA YA SIKU 40 YAANI TAREHE 10/6/2017,KWANI WANASEMA UKIFANYA JAMBO KWA SIKU 40 MFULULIZO INAKUA TABIA,MUNGU NISAIDIE
Goodbye CHAPUTA goodbye PORN
Dadeki yaani uachane na CHAPUTA? Sisi chaputa mimi nikiwa kama M/kiti kivuli nasema tutakusaka popote ulipo ili tukurudishe kundini, CHAPUTA hatutaki ujinga huo yaani ujitoe tu Tunakufilimason
 
habari waungwana wa jukwaa letu pendwa?
kwanza kabisa ifahamike kua nina account mbili humu ndani ambapo ile ninayoitumia sana imenijengea jina kubwa sana humu especialy kwenye comments,wadada wanaijua sana ile ID,so thread ambazo zinani undermine kidogo natumia ID hii.
TOPIC;
Nimekua nikiangalia sana porn mda mwingine naishia kujichua,hii imepelekea matatizo ya kuwahi kumwaga nikiwa na madem kitandani,,,wiki mbili zilizopita nilianza programme maalum ya kufanya mazoezi ya mbio ndefu asubuhi pamoja na kuzingatia mlo ili kurejesha ule umahiri wangu,,kuhusu porn ni kwamba nimeangalia kwa usongo sana nikiwa na lengo la kuacha mwsho wa mwezi april,so kuanzia may sitaangalia tena na nimeapa ndani ya moyo wangu.
NITALETA MREJESHO BAADA YA SIKU 40 YAANI TAREHE 10/6/2017,KWANI WANASEMA UKIFANYA JAMBO KWA SIKU 40 MFULULIZO INAKUA TABIA,MUNGU NISAIDIE
Goodbye CHAPUTA goodbye PORN
Nimependa ulivyofunguka kuwa una id zaidi ya moja

Ila hongera kwa kujitambua maana wanaojichua huwa nawaona watu wa ajabu sana na wasiojitambua.
 
Mwenzako nyege zimemuua,ukizidiwa piga la sivyo utaishia kama huyu mshkaji
93c9da2249acfeba45bf54dd3ca6aeac_funny-pictures-die-hard-funny-or-die-memes_400-334.jpeg
 
habari waungwana wa jukwaa letu pendwa?
kwanza kabisa ifahamike kua nina account mbili humu ndani ambapo ile ninayoitumia sana imenijengea jina kubwa sana humu especialy kwenye comments,wadada wanaijua sana ile ID,so thread ambazo zinani undermine kidogo natumia ID hii.
TOPIC;
Nimekua nikiangalia sana porn mda mwingine naishia kujichua,hii imepelekea matatizo ya kuwahi kumwaga nikiwa na madem kitandani,,,wiki mbili zilizopita nilianza programme maalum ya kufanya mazoezi ya mbio ndefu asubuhi pamoja na kuzingatia mlo ili kurejesha ule umahiri wangu,,kuhusu porn ni kwamba nimeangalia kwa usongo sana nikiwa na lengo la kuacha mwsho wa mwezi april,so kuanzia may sitaangalia tena na nimeapa ndani ya moyo wangu.
NITALETA MREJESHO BAADA YA SIKU 40 YAANI TAREHE 10/6/2017,KWANI WANASEMA UKIFANYA JAMBO KWA SIKU 40 MFULULIZO INAKUA TABIA,MUNGU NISAIDIE
Goodbye CHAPUTA goodbye PORN
Mungu akuongoze,,ayo ni maamuz mazur sana...hakksha kila ukfkia hali yakutaka kuikarbia tena chaputa bc ifkrie hii ahadi yko,,husikubali kuivunja kiwpesi...ameen..maisha bila chaputa,porn ynawezekana. nakutakia mafanikio mema ktk hii vita
 
Back
Top Bottom