Kuanzia leo nita date Single mums tu,sitaki tena sista duu.

Jun 14, 2016
14
11
Wakuu poleni na jitihada za Serikali ya awamu ya tano ya Magu kwa kubana Mianya ya kupiga madili ya kibabe.
Binafsi nikiwa muathirika wa jitihada hizo madili yangu mengi yamezorota,ili kuendana na hali halisi na kupunguza operating costs za relationship na watotowazuri, nimeamua kudate single mums tu maana hawahitaji vizinga wala commitment,ni caring ya mwanae na kupretend as a goodfather tu unapewa kila kitu..
nimeanza na huyu Secretary wa idara yetu.
nitawapa mrejesho ijumaa nimeahidiwa mgegedo wa kibabe
 
Hizo dushe zingekuwa zinapungua na kumung'unyuka kila baada ya tendo nadhani vijana wengi wangebaki na vichelema kama sio vipisi kabisa......maana vijana wanajadiliana kuhusu mada hizi za kubanduana ingekuwa wanajadiliana namna ya kupambana na changamoto zinazowakabili hasa katika suala la ajira na namna ya kujichanganya na ujasiriamali.....bila shaka tusingekuwa tunawaona wachina wakiuza mpaka mahindi ya kuchoma.......
 
Ni wazo zuri. Ila huko ndiko kubaya zaidi. Utalipa sana fees za watoto wa wanaume wenzako. Tarajia Issue kama za 'mtoto anaumwa' 'mtoto anadaiwa hela ya school bus na sina hela kwa sasa' nk wakati mwanaume mwenzio kazalisha then kasepa n siku akitaka mzigo utaachwa kwenye kochi bibie atampelekea kinu mwanaume mwenzio. Ni hayo tu.
 
Kila lakheri usisahau kondom

Na Mwanaume anayetumia Condom ni Mwendawazimu aliyetukuka kwani anapingana na maagano / maagizo ya Mwenyezi Mungu kuwa "enendeni mkabanduane na mfyatue Watoto wengi kama Sungura ". Kama Mwenyezi Mungu angeona haja ya kutumia Condoms kwa sisi waja wake basi wakati anatuumba angetufungashia Condoms za asili pembezoni mwa " mbupu " zetu au " mikuyenge " yetu. Hivi huoni aibu kumwambia mwenzio akumbuke kutumia Condom kwenye shimo lenye utamu usioelezeka? Umenikera kweli Mkuu. Hapa mwendo ni " minyama ndani minyama nje " period.
 
GENTAMYCINE kwenye biblia hakuna sehemu pameandikwa "enenden mkabanduen na mfyatue watoto kama sungura" huwa haturuhusiwi kuongeza neno wala kupunguza ni dhambi , usione umeandika ujinga stil then bado unapumua ukadhan hujamkosea muumba, bado unayo nafasi kuomba msamaha as long as your stil breathing
 
GENTAMYCINE kwenye biblia hakuna sehemu pameandikwa "enenden mkabanduen na mfyatue watoto kama sungura" huwa haturuhusiwi kuongeza neno wala kupunguza ni dhambi , usione umeandika ujinga stil then bado unapumua ukadhan hujamkosea muumba, bado unayo nafasi kuomba msamaha as long as your stil breathing

Maandiko ni jinsi Wewe binafsi unavyoyatafsiri hivyo usinilazimishe kuelewa unavyotaka Wewe sawa? Elewa ulivyoelewa na niache ninavyoelewa period. Kapumzike tu Mkuu au Kunguni wamezidi kitandani hivyo unataka kujipoza maumivu yao ya " kukung'ata " Kwangu hadi mida mida uwachungulie na ukiona wamesepa uutafute tena usingizi wako?
 
Back
Top Bottom