Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Mtakuwa mnashangaa kuona meli zimanza kujazana tena..basi ukweli ni kuwa zilishakaa muda mrefu na zikaamua kuondoka
sasa wakaongopewa na TICS kuwa zimepona kumbe zimeharibika zote
wameishia kukodi moja toka TPA kati ya 2 walizokuwa nazo na nasikia jana nalo liligoma
sasa kama ulithubutu kuagiza kontena lako basi mtasubiri mpaka mwezi wa 7
Mgawe na bodi ya Habaz bado wanakula kuku tuuu
ndio hivyo
mida basi
sasa wakaongopewa na TICS kuwa zimepona kumbe zimeharibika zote
wameishia kukodi moja toka TPA kati ya 2 walizokuwa nazo na nasikia jana nalo liligoma
sasa kama ulithubutu kuagiza kontena lako basi mtasubiri mpaka mwezi wa 7
Mgawe na bodi ya Habaz bado wanakula kuku tuuu
ndio hivyo
mida basi