5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,699
- 1,592
Ukraine peke yake sasa anashambulia Moscow moto unawaka anakolala putin, putin alisema ikishambuliwa Moscow ataanzisha vita ya nuclear sasa Ukraine wanapiga Moscow na karibuni Ukraine watapewa silaha kazi zaidi kuzidi kumuashia moto jamaahuna akili Urusi angekua dhaifu hao nato wangekua washaingia hadi moscow sahiv