KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Kitendo cha Mabere Marando kuwa wakili wa Manji katika ile kesi ya Fisadi nyanguni na Fisadi papa, ni wrongo move kwake na kwa CHADEMA, kwani Mengi na vyombo vyake vya habari vitasusia/ au kupunguza coverage ya CDM.