ni bahati mbaya tu imemkuta tena usikute alimpiga kidogo tu,ni wangapi hapa wanafanya ugomvi maeneo kama hayo?kwa jinsi ninavyomjua octavian inaonekana alikuwa humiliated sana siyo mtu wa ugomvi ni mpole sana japo kuwa ana mwili mkubwa wa mazoezi
Ameua kwa makusudi adhabu yake ni kitanzi