Kodi mpya: Barua ya TRA kwenda kwa mabenki

Mkuu EMT kuna kitu kimechanganywa kama sio english yangu ndo ipo shallow, ebu angalia tittle ya barua (reference) then soma kwa umakini sentensi ya kwanza alafu usome sentensi ya pili hapo hapo kwenye aya ya kwanza.

Halafu naomba nikupe hii mifano miwili ya transactions then nambie wapi panapaswa kukatwa kodi.
A, Mimi naitaji kununua gari nje ya nchi nitalipa kwa TT.
B, Mimi nina account ACCES BANK ninahitaji kuhamisha hela kwenye account yangu nyingine iliyopo EXIM BANK.


Kati ya A na B wapi napaswa kulipa kodi,?

Sema wewe mkuu, manake mimi nasoma hii barua mara mbili mbili nashindwa kuelewa niwalaumu TRA au mwalimu wangu wa kizungu. Kwa kutoelewa kwangu, naona kama scenario A ndio itahusika na hilo tozo. Na nilivyoelewa mimi, anayelipwa ndio atapelekewa kiasi pungufu kwa hiyo asilimia 0.15 (kuwa atakuwa amekuwa taxed at source). Lakini najikuta sielewi tena kama mtumaji bado anakatwa tena? If yes, kwa ajili ya nini? Na je, kama anayelipwa ni wa hapa hapa nchini, jamani, haya siyo ma-double taxation tena? Assuming kama ni consultant, si aliyemlipa alisha withhold tax at some point tena?

Mmh ndugu, nisikuchanganye, manake nahisi sijaelewa kitu.....au sijui ndio nashindwa ku-absorb shock?
 
Hivi hiyo Finance Bill ya mwaka 2013/2014 ni siri? Mbona haionekani? Halafu haya masuala ya kukata pesa kwenye Mpesa si yalikataliwa na wabunge na serikali kuondoa kodi za namna hii wakati Waziri akijibu hoja za wabunge. Sasa hii tena inatoka wapi?

Mkuu Kimbunga ninavyoona mimi kuna ujanja ujanja ulifanywa na waziri Mgimwa hapa. Katika hotuba yake pamoja na finance bill sikuwahi kusikia hiyo tozo ya simcard ikitajwa. Katika hali ya kawaida waziri alipokuwa anataja vyanzo vya mapato alitakiwa avitaje vyote, sasa inashangaza kwamba vyanzo vingine vya mapato vilitajwa lakini tozo ya simcard haikusemwa.

Pia kuna uwezekano kwamba kwenye budget yake pamoja na finance bill hiyo tozo haikuwemo isipokuwa ilichomekewa baada ya mjadala na kupitishwa kwa bajeti pamoja na finance bill.

Jambo jingine ninalolifikiria, inawezekana kabisa hilo pendekezo la tozo ya simcard ilikuwemo kwenye hotuba yake ya budget na finanace bill na hakuisoma na bahati mbaya kama ilivyo kawaida ya wabunge wetu nao hawakusoma vitabu vyao vya budget matokeo yake wakaitikia ndiyoooo na kupitisha kitu wasichokifahamu.

Kuhusu kutoza kodi katika huduma za miaamala nayo ni katika muendelezo wa sarakasi zilezile zinazofanywa na waziri Mgimwa kwakuwa wakati wa uwasilishwaji wa bajeti zote mbili. bajeti kuu ya serikali na finanace bill haikuwekwa wazi kwahiyo ikawa ni vigumu kufahamika mapema kwakuwa nina uhakika wananchi wangepiga kelele tangu awali.

Na hapa ndipo utakapoona uvivu wa watendaji wetu wa serikali hasa wizara ya fedha katika kufikiria/kubuni vyanzo vipya vya mapato. Wanashindwa kukusanya kodi stahiki kwenye makampuni ya simu, makampuni ya madini, mahoteli ya kitalii, viwanda, wafanyabiashara na bandari badala yake wanakimbilia kuwabambikia mizigo wananchi wanyonge.
 
Last edited by a moderator:
Umekosea kaka, Hii ni kodi kwa hela unayochukua malaji/mtu wa mwisho, mfano ukienda kutoa hela kwenye ATM watu wankula 0.15%.
my point exactly si unaona hata sisi hapa tushaanza kuchanganya (confusion) kila mtu anatafsiri kivyake na shida ya hii watu watakatwa kodi hata pale pasipohusika ukizingatia serikali yenyewe ni kukusanya tu, sasa walishindwa nini kuweka kila kitu kinachohusika na kisichohusika stage by stage.., sababu according to me ATM sio money transfer bali its just withdraw unless otherwise wangesema kila transaction itakuwa charged
 
ZftvAvePVndO2zAAAAAASUVORK5CYII=




zWBXDhwoULFy7 aHDJ1YULFy5cuPiF8f8D5IPnkKwzz1EAAAAASUVORK5CYII=



Kazi hii ni kazi ya wazee wa Ndiyooooooooooo..............

Kwa elimu yangu ya Kata naona vipengele hivyo hapo juu kama havijakaa sawa!Na hapo ndipo unapogundua kazi harama.

Ebu tunangalie;

Sec.(3)

Eletronic communication service;
1.Phone calls
2.Messages
3.Data e.tc

Sec.6A. Money Transfer through a bank,financial institution or telecommunication

Here is different electronic money tranfer which one are they reffering ?

1.Mobile phones money transfer
2. wire transfer
3. Internet money transfer
 
Anayetuma 1 Billion Shillings kutoka account yake, ya CRDB say to NBC analipa Shs. (1,000,000,000 - 30,000)*0.15% = 1,499,955.

Vipi kama natransfer hizo pesa kutoka account yangu CRDB kwenda kwenye account yangu nyingine hapo hapo CRDB?

Bado nitatakiwa kulipa hiyo kodi?
 
Mkuu EMT kuna kitu kimechanganywa kama sio english yangu ndo ipo shallow, ebu angalia tittle ya barua (reference) then soma kwa umakini sentensi ya kwanza alafu usome sentensi ya pili hapo hapo kwenye aya ya kwanza.

Halafu naomba nikupe hii mifano miwili ya transactions then nambie wapi panapaswa kukatwa kodi.
A, Mimi naitaji kununua gari nje ya nchi nitalipa kwa TT.
B, Mimi nina account ACCES BANK ninahitaji kuhamisha hela kwenye account yangu nyingine iliyopo EXIM BANK.


Kati ya A na B wapi napaswa kulipa kodi,?

Sentensi ya kwanza na ya pili kwenye hiyo barua kama vile zinajichanganya? Sijaelewa zina maana gani.

Hivi mzazi akitransfer pesa kutoka kwenye account yako CRDB kwenda kwenye account ya shule iliyopo NBC kwa ajili ya kulipia ada ya mtoto nae atatozwa hiyo kodi?

Kuna umuhimu wa kuipata sheria yenyewe na kuisoma maana hii barua hata haitoa clarification.
 
Nisipolalamikia huu mlolongo wa kodi zisizokuwa na kichwa wala miguu, kuna siku wataanzisha hadi kodi hadi kwenye tendo la ndoa kwa wanandoa!

Sio kwa wanandoa tu,unapo ongeza mke wa pili au kimada ujue tayari mojawapo ya jukumu lako ni kumlipia kodi iwe ya pango la nyumba,room hotelini au kwenye starehe mahala popote.Kukwepa kodi ni sawa na kukataa maendeleo ambayo mimi na wewe tunayahitaji kwa ustawi wetu sote.Ni vema tukachangia ili watu wetu vijijini wasitusumbue kuja mijini.
 
Vipi kama natransfer hizo pesa kutoka account yangu CRDB kwenda kwenye account yangu nyingine hapo hapo CRDB?

Bado nitatakiwa kulipa hiyo kodi?

Swali zuri mkuu, kwa hii mkuu, haina gharama. Hii ni Internal Transfer ambayo haipitii BOT. Kwa hiyo hizi ziko excluded.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Sentensi ya kwanza na ya pili kwenye hiyo barua kama vile zinajichanganya? Sijaelewa zina maana gani.

Hivi mzazi akitransfer pesa kutoka kwenye account yako CRDB kwenda kwenye account ya shule iliyopo NBC kwa ajili ya kulipia ada ya mtoto nae atatozwa hiyo kodi?

Kuna umuhimu wa kuipata sheria yenyewe na kuisoma maana hii barua hata haitoa clarification.

Mkuu, daka hiyo sheria, hii hapa, hicho kipengele ni page ya 12 para ya kwanza kabisa, ambayo inasema hivi

"(6A) There shall be charged an excise duty
on money transfer through a bank, a financial
institution or a telecommunication company at the
rate of 0.15% of the amount transferred for the
amount exceeding shillings 30,0001=
(6B) The excise duty chargeable under
subsection (6A) shall not apply to money transfer
between banks and financial
institutions, government, diplomats and diplomatic
missions."
 

Attachments

  • Finance Act-2013.pdf
    1.8 MB · Views: 40
  • Thanks
Reactions: EMT
tatizo la hawa Watz sijui nisemeje,maana labda viziwi au vipofu? wao huimbishwa tu,akili nyingi hazina kumbukumbu na uwezo wa kufikiri. Serikali iliposhambuliwa haikusanyi kodi za simu ipasavyo kama Rwanda,hapa walisherehekea sasa inakusanya wanalia,nadhani something wrong katika vichwa vyao
Acheni kuipenda dezo dezo
serikali ilikuwa na huruma miaka yote hii hamna shukrani ni tanzania
pekee ilikuwa haitozi kodi hii mnataka maisha mazuri lipeni kodi hivi
baado tu hamishukuru serikali kusamehe kodi watu mnafanya dili za
udalali hamlipi kodi mnapangisha nyumba hamlipi kodi machinga hawalipi
kodi magenge maduka ya mitaani hayalipi kodi nk nk hivi siku ikiamua
kila kipato unachoingiza kikatwe kodi mtakomajeee!!!!!
 
Sentensi ya kwanza na ya pili kwenye hiyo barua kama vile zinajichanganya? Sijaelewa zina maana gani.

Hivi mzazi akitransfer pesa kutoka kwenye account yako CRDB kwenda kwenye account ya shule iliyopo NBC kwa ajili ya kulipia ada ya mtoto nae atatozwa hiyo kodi?

Kuna umuhimu wa kuipata sheria yenyewe na kuisoma maana hii barua hata haitoa clarification.

Kwa walio soma taxation huwa wanajitangaza kwamba tax laws zinachanganya, Lakini kwa uelewa wangu wa English ya Saint Kayumba kuna kitu kinakosekana kwenye hiyo barua kama sivyo muhusika amefanya makusudi akijua anachokitaka aisee. Tittle inajichanaganya na contents.

Hivi inakuwaje hawa jamaa wanapitisha sheria za kodi hata bila kushirikisha wadau japo kidogo? Hawa jamaa kwa kweli wanakera aisee.

Huo mfano wako wa CRDB ndo sawa na ule wangu niliokuuliza wa ACCES BANK.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu, daka hiyo sheria, hii hapa, hicho kipengele ni page ya 12 para ya kwanza kabisa, ambayo inasema hivi

"(6A) There shall be charged an excise duty
on money transfer through a bank, a financial
institution or a telecommunication company at the
rate of 0.15% of the amount transferred for the
amount exceeding shillings 30,0001=
(6B) The excise duty chargeable under
subsection (6A) shall not apply to money transfer
between banks and financial
institutions, government, diplomats and diplomatic
missions."

Mkuu tunashukuru sana kwa kushusha huo mzigo, ngoja niupitie then nitarudi.
 
Sema wewe mkuu, manake mimi nasoma hii barua mara mbili mbili nashindwa kuelewa niwalaumu TRA au mwalimu wangu wa kizungu. Kwa kutoelewa kwangu, naona kama scenario A ndio itahusika na hilo tozo. Na nilivyoelewa mimi, anayelipwa ndio atapelekewa kiasi pungufu kwa hiyo asilimia 0.15 (kuwa atakuwa amekuwa taxed at source). Lakini najikuta sielewi tena kama mtumaji bado anakatwa tena? If yes, kwa ajili ya nini? Na je, kama anayelipwa ni wa hapa hapa nchini, jamani, haya siyo ma-double taxation tena? Assuming kama ni consultant, si aliyemlipa alisha withhold tax at some point tena?

Mmh ndugu, nisikuchanganye, manake nahisi sijaelewa kitu.....au sijui ndio nashindwa ku-absorb shock?

Kuna tatizo la English hapo kwenye hiyo barua.

Kama mfano A ndio unapaswa kulipa kodi, anayekatwa hiyo kodi ni nani mimi nilyeagiza au huyu foreigner anayeniuzia? Sababu ukiangalia kwa upande wa sheria ya kuwasaidia wazawa huyo supplier wangu ndo anapaswa akatwe. Lakini tena kwenye international taxation jamaa hapaswi kukatwa chochote even bank charges isipokuwa yawepo makubaliano between two parts. Sasa automatically mie ndo nitalipia kila kitu from bank charges, to holding tax ya 0.15%

Ngoja jamaa kashusha hiyo Act 2013 nitarudi baaadaye kidogo.
 
Kweli sasa tunakuwa taxpayers kila kona. Ukituma 1m Serikali wanachukua 15,000 faster, mtumaji unakatwa 2000, na mpokeaji kama buku saba (nt sure). Kwa hesabu za haraka 25,0000. Yaani hata nikimtumia mdogo wangu hela ya matumizi bado nimo tu ingawa si biashara. Watupe TIN number basi! Meen, watatumaliza! Itabidi turudi zile zama za zamani za kutuma kwa basi za abiria na malory bila kujali risk na delay. Tutapata tu pa kuchomokea. Kinachonisikitisha ni misamaha ya kodi ambayo ingeweza kucompensate revenue ya serikali. Pia kungekuwa na ukusanyaji mzuri katika vyanzo vikuu kama madini, bandari, utalii nk yote haya yasingekuwepo. Hii ndo BIG RESULTS NOW!

Wakati ulimwenguni viongozi wanafikira kwenda mbele, Tanzania wanafikiria kurudi nyuma, too sad.
 
Mkuu, daka hiyo sheria, hii hapa, hicho kipengele ni page ya 12 para ya kwanza kabisa, ambayo inasema hivi

"(6A) There shall be charged an excise duty
on money transfer through a bank, a financial
institution or a telecommunication company at the
rate of 0.15% of the amount transferred for the
amount exceeding shillings 30,0001=
(6B) The excise duty chargeable under
subsection (6A) shall not apply to money transfer
between banks and financial
institutions, government, diplomats and diplomatic
missions."

Asante Mkuu ngoja niikague hii sheria.


Kwa walio soma taxation huwa wanajitangaza kwamba tax laws zinachanganya, Lakini kwa uelewa wangu wa English ya Saint Kayumba kuna kitu kinakosekana kwenye hiyo barua kama sivyo muhusika amefanya makusudi akijua anachokitaka aisee. Tittle inajichanaganya na contents.

Hivi inakuwaje hawa jamaa wanapitisha sheria za kodi hata bila kushirikisha wadau japo kidogo? Hawa jamaa kwa kweli wanakera aisee.

Huo mfano wako wa CRDB ndo sawa na ule wangu niliokuuliza wa ACCES BANK.

Mkuu Manyi kaiweka sheria yenyewe hapo juu umeiona?
 
actually some people do think that, this tax is not imposed to banks and mobile money transfer, this is not true. Mobile money transfer agents have been receiving messages that they will be new tax imposed by the government with effect from 1/7/2013, and thereof needs them to be aware of the matter.
 
You need to know all telecom tariff will increase by 15% regardless of any services offered to customer.
Ukiongeza na 1000 ya line,na hii transaction fee tax na nyingine msululu zilizojificha ni balaa tupu,haya mambo ndio yanaua business za watu na wote tunaishia kuwa maskini na serikali kubaki ombaomba...kamua migodi ile na gas tuliyopewa na mungu bure sio kukimbiza hardwork za watu
 
Back
Top Bottom