NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,377
- 12,937
Ndiyo! Waswahili Wanasema "mnyonge mnyongeni haki yake mpeni"
Nimetazama mechi mbili za Simba sc kwenye michuano ya CAF haswa mechi ya Jwaneng Galaxy na Wydad nimeona mabadiliko makubwa sana kwa wachezaji.
1/spirit ya kupambana hii nimeiona katika mechi ya Wydad Simba wamecheza mpira Kama wapo kwa mkapa hakuna unyonge hakuna kuogopa kwa kweli wachezaji wameupiga mwingi hii ndiyo maana halisi ya kumwaga jasho na damu.
Fabrice Ngoma, Che Malone fondoh Kibu Denis Hawa ni maana halisi ya kujituma
2/Pira Arabic (Pira kasi) Chama anaanzia benchi huku Onana akiingizwa kidogo kidogo kwenye mfumo na huu ni ufundi wa kocha Benchikha kutokana na Falsafa yake ya mpira Kasi Chama Hana Kasi na siyo mkabaji hicho ndicho kinacho muweka benchi na Onana kuaminiwa na mwalimu.
Kama Benchikha ataongezewa wachezaji kwenye dirisha dogo hakika atarudisha furaha ya wanasimba waliyoikosa kwa muda mrefu.
Nimetazama mechi mbili za Simba sc kwenye michuano ya CAF haswa mechi ya Jwaneng Galaxy na Wydad nimeona mabadiliko makubwa sana kwa wachezaji.
1/spirit ya kupambana hii nimeiona katika mechi ya Wydad Simba wamecheza mpira Kama wapo kwa mkapa hakuna unyonge hakuna kuogopa kwa kweli wachezaji wameupiga mwingi hii ndiyo maana halisi ya kumwaga jasho na damu.
Fabrice Ngoma, Che Malone fondoh Kibu Denis Hawa ni maana halisi ya kujituma
2/Pira Arabic (Pira kasi) Chama anaanzia benchi huku Onana akiingizwa kidogo kidogo kwenye mfumo na huu ni ufundi wa kocha Benchikha kutokana na Falsafa yake ya mpira Kasi Chama Hana Kasi na siyo mkabaji hicho ndicho kinacho muweka benchi na Onana kuaminiwa na mwalimu.
Kama Benchikha ataongezewa wachezaji kwenye dirisha dogo hakika atarudisha furaha ya wanasimba waliyoikosa kwa muda mrefu.