ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,544
Hakika leo ifikapo 10:45 pm tutashuhudia soka la nguvu UEFA pale ambapo Timu nne zitakapopambana katika mchuano huu wa 16 bora, kazi ipo jamani hasa hapo Emarate stadium?
Ni nini utabiri wako?
Ni nini utabiri wako?