gozo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 458
- 85
Habari zenu wakuu..
Viwanja vinauzwa ukubwa wa 60*50 bei mil 6.5 na eka moja bei mil 15 vipo maeneo ya kiluvya kwa komba ni jirani kutoka barabarani(morogoro road) ni kama mwendo wa nusu saa kwa ukitembea kwa miguu au dakika kumi ukienda kwa pikipiki,maji yapo,umeme upo na barabara ni nzuri mpaka kufika eneo la kiwanja.
kwa mawasiliano piga 0715 369096..
Viwanja vinauzwa ukubwa wa 60*50 bei mil 6.5 na eka moja bei mil 15 vipo maeneo ya kiluvya kwa komba ni jirani kutoka barabarani(morogoro road) ni kama mwendo wa nusu saa kwa ukitembea kwa miguu au dakika kumi ukienda kwa pikipiki,maji yapo,umeme upo na barabara ni nzuri mpaka kufika eneo la kiwanja.
kwa mawasiliano piga 0715 369096..