kyanyangwe
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 1,147
- 2,746
Kiwanja kinapatikana eneo la mbopo-madale ndani ya wilaya ya kinondoni mkoa wa Dar es Salaam.
Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa.
Kiwanja kiko eneo zuri lililojengeka na linalofaa kwa makazi.
Kiwanja kimezungukwa na huduma muhimu kama maji,umeme,shule na hospital.
Ukubwa wa kiwanja ni 550sqm.
Bei ya kiwanja ni shilingi za kitanzania 8.5m
Kwa mawasiliano zaidi na ukitaka kukitembelea kiwanja piga 0734079737.
Hakuna udalali.
Karibuni sana
Kiwanja hakijapimwa,ila kina hati ya mauziano kutoka serikali za mitaa.
Kiwanja kiko eneo zuri lililojengeka na linalofaa kwa makazi.
Kiwanja kimezungukwa na huduma muhimu kama maji,umeme,shule na hospital.
Ukubwa wa kiwanja ni 550sqm.
Bei ya kiwanja ni shilingi za kitanzania 8.5m
Kwa mawasiliano zaidi na ukitaka kukitembelea kiwanja piga 0734079737.
Hakuna udalali.
Karibuni sana