Kiwanja cha AVALON cinema: TIBAIJUKA acha unafiki

"hana habari na mambo ya JF" maana yake hajui kwamba kuna mjomba mmoja akipewa michongo ya faragha anakuja kuibandika humu kwenye ma blogu kwamba Butiku alimwambia ham-maindi Kikwete.

ambalo Butiku hajalisema hadharani usimsemee kwenye ma blogu
Hata kama mazungumzo yangu yalikuwa ya faragha, hakunitahadharisha nisiwatonye wenzangu kwenye kijiwe chetu. Kinachokukera wewe ni kipi?
 
BUTIKU: siku hizi kawa kimyaaaaa hata zile marathon za Press conference kaacha. Cha ajabu kupewa yeye na hiyo foundation yake anaona sawa, lakini wale ambao kawanyanganya kile kiwanja nao wakifanya Press Conference kuelezea alivyowafanyia uhuni atakubali?

Na si hivyo tuuu huyu huyu alitaka kuvamika kile kiwanja kingine lakini naona kule alikutana na wajanja zaidi yake wakawahi kumilikishwa hivyo alishindwa kwenda kulalama wavuliwe kama alivyofanya hiki cha Avalon Cinema.

Halafu mmeona ile michoro ya hilo jengo lenyewe la MNF? if anything ni litaingia kwenye listi ya majengo yanayoongoza kwa ubaya Dar, la kwanza likiwa lile mall lililo opposite na Seacliff Village.

KITINE: well huyu tangu apewe nyumba aliyokuwa analilia apewe (japo hakuwa mfanyakazi wa serikali) na baada ya kupewa aka demand apewe kwa bei ya Bure kule Masaki sasa naona kaacha naye kufanya Press Conference kwa ma elites (or whatever you wanna call them) wenzie pale Gymkhana Club.

Halafu TIBAIJUKA anatafuta wachawi...

Kuna kale kajengo kalikokuwa kanatumiwa na Tacaids katapona? Kale ndiko kajengo kazee Dar es Salaam nzima. Au tayari wameisha ka-nyumba ya sanaa?

Jengo baya katika yote Dar es Salaam ni lile linalotazamana na mahakama ya Kisutu!

Amandla.....
 
msipate taabu sana:

1. Babu mlalamishi ni huyo wa MWALIMU NYERERE FOUNDATION

Acha ujuha wewe hicho si kiwanja cha mtu binafsi, ni cha Taasisi ya Mwl Nyerere ambacho kimetolewa baada ya kuporwa kile cha Sokoine Drive kwa sababu za kifisadi. Kile kiwanja cha Avalon hakunyang'anywa mtu. Wamebadilishana na city council.
 
of course wengine mnabisha kuwa kiwanja cha valon hakunyanganywa mtu. Technically yes hakuna aliyepewa umiliki wa kile kiwanja lakini kuna jumuiya ilikiomba kile kiwanja zaidi ya miaka 5 iliyopita na karatasi zote zipo na kilichobaki ni process ndogo sana ili wamilikishwe...then Butiku na MNF wakatokea out of no where kulalama wapewe wao na baada ya kuchoshwa na hizo press conference kulalamika kuhusu mustakbali wa nchi wakaona bora apewe tuu ili yaishe.

Lakini the same BUtiku alitaka kufanya uvamizi wa maeneo mawili pale mjini na wakakwama...eneo moja ni lile la Ridoch motors.
 
Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Huyu maza alishindwa kuboresha maisha ya watu wa Kibera atawaweza Wabongo?

mtu asiyekuwa na strategist automatically na yeye kama individual hana strategy.


Bongo ina ma-profesa wawili tu:
1. Prof. Luhanga.

2...........................


Hawa wengine mmmmh!!
 
Huyu maza alishindwa kuboresha maisha ya watu wa Kibera atawaweza Wabongo?

mtu asiyekuwa na strategist automatically na yeye kama individual hana strategy.


Bongo ina ma-profesa wawili tu:
1. Prof. Luhanga.

2...........................


Hawa wengine mmmmh!!

si hivyo tuuu

Nenda Kigamboni katazame the so called affordable housing zilizokuwa chini yake enzi zake HABITAT

nyumba utafkiri behewa la treni. Says alot about where priorities za huyu mama ziliko
 
Hivi kweli tutafika mahali tutakapoweza kusema, hapana, badala ya kujenga tutapaacha wazi na kupanda majani ili kila mtu aweze kupatumia? Mji wa zaidi ya milioni tatu na hatuna public park hazizidi tano? Na katika zote hizo hakuna ya maana hata moja!

Hapa wangenyang'anywa wote na kupageuza bustani badala ya parking.

Amandla......
 
Jamani hii nchi haina wataalam au ni laana!! Nani kawaambia maendeleo ya viwanja ni dhambi, Land planning and land use development is dynamic in a socio-economical pattern, mi sioni hoja za msingi hapa naona lawama na hisia tena hisia ambazo hazilengi kujenga bali chuki mtu aweza sema chuki binafsi labda! Toeni hoja juu ya mabadiliko ya matumizi yanayofanywa faida na hasara zake then tuone kama kuna haja ya kufanya mabadiliko hayo au la! kuna matatizo kibao katika sekta hiyo ya msingi wala si mabadiliko ya matumizi, sheria ipo wazi na wataalam wapo; tuna taka maendeleo ya makazi tunataka maji kila mtaa, umeme kila mtaa, barabara za lami na parking kila mtaa tunataka baa ziondoke kwenye madirisha ya nyumba zenye watoto wadogo ambao ni viongozi wetu wa baadae, tunataka mfumo wa maji taka na taka ngumu kila nyumba, hatutaki kuona choo cha jirani kipo mbele ya sebure yetu, tunata njia yakuingia mtaani kwetu imejaa meza na bidhaa za viwandani zinauzwa hapo kama mbao, welding works, car washing nk; hayo ndio maendeleo ya makazi na viwanja siokuangali kiongozi haliyepita alibadilisha matumizi ya kiwanja kipi? matumizi ya viwanja yanapangwa na binadam siyo mungu kama tatizo ni sheria na mfumo uliopo basi tuubadilishe ilituwetunapata mabadiliko chanya mi naona labda huyu mama hajui kazi yake na hajui nini kinahitajika miaka mitano itaisha anatupigia kelele bila tija nadhani hafai kama nayeye ndio approach yake ya maendeleo ya makazi na ardhi ndio hiyo .... naomba niishie hapo tafakalini tunalalamikia nini na tunataka nini
 
Hivi kweli tutafika mahali tutakapoweza kusema, hapana, badala ya kujenga tutapaacha wazi na kupanda majani ili kila mtu aweze kupatumia? Mji wa zaidi ya milioni tatu na hatuna public park hazizidi tano? Na katika zote hizo hakuna ya maana hata moja!

Hapa wangenyang'anywa wote na kupageuza bustani badala ya parking.

Amandla......

Fundi, hivi hizo "park" wewe unazihesabu kuwa ni park? Tehtehteh.....
 
Nadhani labda wameshindwa kushughulikia matatizo ya msingi sasa wanataka ku-win popularity kwa hoja za kipuuzi
 
Jamani hii nchi haina wataalam au ni laana!! Nani kawaambia maendeleo ya viwanja ni dhambi, Land planning and land use development is dynamic in a socio-economical pattern, mi sioni hoja za msingi hapa naona lawama na hisia tena hisia ambazo hazilengi kujenga bali chuki mtu aweza sema chuki binafsi labda! Toeni hoja juu ya mabadiliko ya matumizi yanayofanywa faida na hasara zake then tuone kama kuna haja ya kufanya mabadiliko hayo au la! kuna matatizo kibao katika sekta hiyo ya msingi wala si mabadiliko ya matumizi, sheria ipo wazi na wataalam wapo; tuna taka maendeleo ya makazi tunataka maji kila mtaa, umeme kila mtaa, barabara za lami na parking kila mtaa tunataka baa ziondoke kwenye madirisha ya nyumba zenye watoto wadogo ambao ni viongozi wetu wa baadae, tunataka mfumo wa maji taka na taka ngumu kila nyumba, hatutaki kuona choo cha jirani kipo mbele ya sebure yetu, tunata njia yakuingia mtaani kwetu imejaa meza na bidhaa za viwandani zinauzwa hapo kama mbao, welding works, car washing nk; hayo ndio maendeleo ya makazi na viwanja siokuangali kiongozi haliyepita alibadilisha matumizi ya kiwanja kipi? matumizi ya viwanja yanapangwa na binadam siyo mungu kama tatizo ni sheria na mfumo uliopo basi tuubadilishe ilituwetunapata mabadiliko chanya mi naona labda huyu mama hajui kazi yake na hajui nini kinahitajika miaka mitano itaisha anatupigia kelele bila tija nadhani hafai kama nayeye ndio approach yake ya maendeleo ya makazi na ardhi ndio hiyo .... naomba niishie hapo tafakalini tunalalamikia nini na tunataka nini

Ungevuta pumzi kwanza maana haueleweki. Kwa mfano hiyo sentensi uliyoi-bold sijaielewa, ingekuwa vyema ungeitafsiri.

Amandla.........
 
"hana habari na mambo ya JF" maana yake hajui kwamba kuna mjomba mmoja akipewa michongo ya faragha anakuja kuibandika humu kwenye ma blogu kwamba Butiku alimwambia ham-maindi Kikwete.

ambalo Butiku hajalisema hadharani usimsemee kwenye ma blogu

Safi sana hii, kulinda privacy kuna namna ya kureport, otherwise hutapata habari tena maana utaonekana mmbea usiyeweza kukaa na habari bila kuzisambaza hovyo, hata ukiamua kusambaza linda identityya aliyekuhabarisha.
 
Ungevuta pumzi kwanza maana haueleweki. Kwa mfano hiyo sentensi uliyoi-bold sijaielewa, ingekuwa vyema ungeitafsiri.

Amandla.........

Kama wewe ni fundi chuma huwezi kuelewa, jaribu kusoma tena angalao umeonyesha unaweza kuelewa kwa kujua neno bold!

uki-comment kitu cha maana nitakuelimisha.
 
Safi sana hii, kulinda privacy kuna namna ya kureport, otherwise hutapata habari tena maana utaonekana mmbea usiyeweza kukaa na habari bila kuzisambaza hovyo, hata ukiamua kusambaza linda identityya aliyekuhabarisha.
thnx for understanding, thats exactly what I was trying to tell the dude

wengi tunafahamiana na wenye nyeti za nchi kutoka idara mbali mbali kwa namna moja au nyingine, na ukiwa nae in private analaani vitu fulani na kutukana viongozi, lakini hategemei ukitoka hapo uje ubandike humu "Nimekutana na Butiku Novemba kaniambia Kikwete hapendi jengo la Nyerere" khaa!

Sasa unafikiri Butiku akikutana na Kikwete ataficha uso wake wapi? Vitu vingine vinasemwa in private
 
Bila kusahau kiwanja cha wazi sinza mori pale walipojenga big born na bonge la mjengo kwa nyuma
 
Hii haijakaa sawa

wenyewe huko wizarani wamewekewa internet connection mpya basi inasemekana as we speak wako hooked on JF.

Sijajua kama mama keshapelekewa umbea kuhusu huu mtandao wa JF
 
Nadhani mna habari kuwa ile OPEN SPACE ya Avalon Cinema nacho kishapewa yule mzee aliyekuwa haishi kulalama kuwa serikali inakosa mwelekeo.

Yule Mzee ilikuwa sometimes mara 2 per day alikuwa haishi kuitisha press conference kutuambia maovu ya Serikali iliopo madarakani. Na kama siku hajaita yeye basi wanapeana zamu na mwenzie aliyekuwa mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (ambaye naye alienda kulia apewe nyumba ya serikali 1) Masaki 2) kwa bei ya kutupa) na of course alipewa na shukran yake ilikuwa kuitisha mikutano pale Gymkana kumkandia huyo huyo aliyetoa ruksa apewe nyumba at the expense of Tax payers.(Ohh how can we forget lile benzi aliloagiza Ujerumani na baada ya kugundua kuwa Mwalimu keshapewa umbea, huyu mkurugenzi mstaafu akaamua kulitumbukiza baharini ili mwalimu asionyeshwe ushaidi !!!!

Sasa Mama Tibaijuka tunakuomba uache unafiki wa ku pick and chose battles zako ambazo unaonekana huna strategist wa kukusaidia mbinu za kivita.

Kama kweli unataka tukuone wa maana toa Tamko kuhusu AVALON kama kesho hatujaona babu anaakuja na tathmini ya uchaguzi

mdau una open space,iliyopo kwenye listi ya mama au mbna yaelekea una wasiwasi sana
 
Hata kama mazungumzo yangu yalikuwa ya faragha, hakunitahadharisha nisiwatonye wenzangu kwenye kijiwe chetu. Kinachokukera wewe ni kipi?

Kinachokera ni wewe kutoa habari ulizopewa kwenye mazungumzo binafsi mzee, labda kama mlikuwa kwenye press conference au mkutano wa hadhara.
 
of course wengine mnabisha kuwa kiwanja cha valon hakunyanganywa mtu. Technically yes hakuna aliyepewa umiliki wa kile kiwanja lakini kuna jumuiya ilikiomba kile kiwanja zaidi ya miaka 5 iliyopita na karatasi zote zipo na kilichobaki ni process ndogo sana ili wamilikishwe...then Butiku na MNF wakatokea out of no where kulalama wapewe wao na baada ya kuchoshwa na hizo press conference kulalamika kuhusu mustakbali wa nchi wakaona bora apewe tuu ili yaishe.<br />
<br />
Lakini the same BUtiku alitaka kufanya uvamizi wa maeneo mawili pale mjini na wakakwama...eneo moja ni lile la Ridoch motors.
Walinyimwa kwakuwa ilikuwa taasisi ya kidini na habari zakiintelejensia zilionyesha walitaka kujenga nyumba ya ibada ili wakompiti na st josefu!!tha why the gvnmnt refused the request!!
 
Back
Top Bottom