Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,522
- 3,447
Mji wa Masasi ni miongoni mwa miji ya kibiashara na inawezekana ukawa kitovu cha biashara kwa miji ya kusini kama Nachingwea, Newala,Nanyumbu na Tunduru.
Licha ya kuwa ndiyo mji unaokua kwa kasi sana katika mkoa wa Mtwara ukiacha Mtwara yenyewe, mji wa Masasi una kero sugu mbili ambazo ni kukosa Kituo Cha Mabasi cha kisasa na kutokuwa na mtandao wa barabara za mitaa (za lami).
Kero ya stendi
Mwaka 2019 Mh Rais JPM (r.i.p) alipofanya ziara ya kushtukiza mjini masasi alihoji miradi mingi ikiwemo mradi wa stand mpya na kaimu mkurugenzi kipindi hicho alijibia kuwa eneo limetengwa, pesa ipo na haraka mchakato wa ujenzi wa stendi mpya utaanza.
Cha kushangaza huu ni mwaka wa tatu sasa hakuna hata dalili za ujenzi wa stendi mpya na hii ya zamani imekuwa kero sasa hasa kipindi hiki cha mvua kunajaa tope na maji mpaka magari yanakwama.
Cc Mbunge wa jimbo la masasi mjini Mh Geofrey mwambe
Licha ya kuwa ndiyo mji unaokua kwa kasi sana katika mkoa wa Mtwara ukiacha Mtwara yenyewe, mji wa Masasi una kero sugu mbili ambazo ni kukosa Kituo Cha Mabasi cha kisasa na kutokuwa na mtandao wa barabara za mitaa (za lami).
Kero ya stendi
Mwaka 2019 Mh Rais JPM (r.i.p) alipofanya ziara ya kushtukiza mjini masasi alihoji miradi mingi ikiwemo mradi wa stand mpya na kaimu mkurugenzi kipindi hicho alijibia kuwa eneo limetengwa, pesa ipo na haraka mchakato wa ujenzi wa stendi mpya utaanza.
Cha kushangaza huu ni mwaka wa tatu sasa hakuna hata dalili za ujenzi wa stendi mpya na hii ya zamani imekuwa kero sasa hasa kipindi hiki cha mvua kunajaa tope na maji mpaka magari yanakwama.
Cc Mbunge wa jimbo la masasi mjini Mh Geofrey mwambe