mamseri
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 707
- 292
Wakuu hawa jamaaa ni noma sana. Leo watu wamepata elimu kubwa sana kuhusu rasimu ya pili ya katiba maeneo ya kata ya Kiranyi Arumeru. Kwa kweli wanajitahidi sana wanatoa vipeperushi na cd zenye elimu kuhusu rasimu hiyo na wanadai ni zoezi la nchi nzima. Nimewapenda sana mungu awabariki hakika tutapata katiba tunayoitaka.