Kitu ya Mombasa hiyo...!

Kisoda2

JF-Expert Member
May 30, 2008
2,475
745
A wealthy gentleman had passed on and was being buried at the kongowea cemetery in a very expensive coffin.

One of the fellows at the burial estimated the coffin to be worthy about 250k, and got ideas about it. He came back at mid night the same day, exhumed the coffin and buried the body back. He then lifted the coffin and carried it away on his head.

Just as he was leaving the cemetery gates he came across four cops on patrol!
"Wewe! Umetoga wapi na unagwenda wapi na gwanini unazika watu usigu?"
"Afande..... Mimi niliambia jamaa zangu “SITAKI KUZIKWA MOMBASA”! Wanipeleke bara. Sasa leo wamenizika hapa na nimekataa, narudi kwetu!!!

Before he finished, all the cops had scampered in different directions!
 
kitendo bila kuchelewa hiyo!
nadhani huyu jamaaantoka kwa mfuga mbwa!!
 
piga picha walipotimua mbio kisha mmoja yupo mbele na mwenzake anamfata halafu kwenye kiza,.....!!
 
Back
Top Bottom