Huyo malaya mwaminifu utakayemtumia tiketi ya ndege kutoka huko aliko hadi kukufikia wewe atakuwa keshaliwa na chain ya watu si chini ya kumi kabla ya kukufikia wewe wa kumi na moja!! Halafu unamwamini hadi unauza mechi(unaloweka) then unapata ngoma na unaanza kumlaumu mungu kuwa amekuonea wewe unayezini na makahaba waaminifu na kuwaacha ma hit&run wakiwa salama! Kumbe uliukwaa kwa kahaba unayemwamini ila asiye mwaminifu kwako! Mimi sitaki mtu aniamini,na mimi simwamini mtu! Yaani ni vita ya macho kwa macho! Sitaki kudanganywa mimi!
Desu-ka?Konichiwa Yujin......kanpai....do itashimashite.......yokoso....ila haukonpeke yako...ni mind set..hata mi nishachemka hiyo sekta...unakuwa na hofu..si mazoea....ila demu ambae unachat nae umemzoea utakula show hadi aombe poo....sayonara
Na Neno litasimama!Mkuu hili nalo neno
Wanaume wenzako watakuponda kukuita mshamba hongera sana mkuu uendelee hivyohivyo
Wanaume wenzako watakuponda kukuita mshamba hongera sana mkuu uendelee hivyohivyo
Nipe namba ya mkeo nimuambie ujinga unaofanyaga ukiwa safarini.Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.
Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.
Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato
Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Nipe namba ya mkeo nimuambie ujinga unaofanyaga ukiwa safarini.
Bora uendelee hvo unaepusha meng!
Wadau konichua,
Kuna kitu ambacho kimenishinda katika maisha yangu, labda wanamme wenzangu mtanisaidia. Siwezi kabisa kununua mwanamke anayejiuza, yaani mfnao nipite mtaani usiku nijitwalie mmoja anayejiuza barabarani nikafaidi. Hicho kitu kimenishinda kabisa, nilishawahi jaribu siku moja kwenda kwenye danguro la Sudani, Temeke pale ili kwa jinsi nilivyokuwa natetemeka hata "mzee" alishindwa kusimama.
Japokuwa kazi zangu ni za safari za mara kwa mara, basi niko radhi nifanye "importation" nimtoe bidada from mkoa mmoja kuja nilipo lakini si kununua yule wa pale barabarani hata kama ni buku 10 tu. Hii inakuwa ni gharama kidogo but naona inanifaa kuliko kununua road.
Kwa wanamme wenzangu tu.
Airigato
Kozo Okamoto
(One Star General)
Mjapani wa Kikurya
Basi mashine yako itakua yakupepea kama jiko lenye mkaa mbichi
Wengi hawalijui hiloWadada wengi tunaokutana nao sahivi wanajiuza, kama ulichompendea mwanaume ni pesa tu, huna tofauti na yule kahaba anayesimama barabarani kujiuza. Hivyo mwanaume anaenunua Malaya ambiance technically yuko sahihi kabisa Shunie
Wewe uongo na kuiba umeacha? Au umeona zinaa tu ndo cha kuropokaKweli bado tunasafari ndefu.. kwenye nchi hii bado kuna changamoto nyingi sana za kutatua ila watu wapo bize na zinaa
Bora uoe mkuu. maana vitabu vyote vya dini vinatuambia Tuikimbie zinaa nayo itatukimbia
Mim sio tu Malaya, hata demu nikiemtongoza Kwa kumsotea lkn siku akikubali tu...mawazo yangu huamia kweny usalama wa afya yake, hapo nakuwaga muoga balaah!!Kumbe tuko wengi