Kitu benz ya ukwel ndan ya posta

Kokwa kavu

JF-Expert Member
Jan 3, 2012
220
41
Nimelikubal hili gar nkaona na nyie wana jamvi muone
 

Attachments

  • Photo0404E002E001.jpg
    Photo0404E002E001.jpg
    200.2 KB · Views: 331
  • Photo0406E001E001.jpg
    Photo0406E001E001.jpg
    148.8 KB · Views: 453
  • Photo0403E001E001.jpg
    Photo0403E001E001.jpg
    190.6 KB · Views: 1,490
Na hizi barabara zetu mmh! Gari nzuri hahahha umewin kwa ukweli
 
ukiwa mikocheni utakutana nayo kwa sana mi nimeiona kutokea last year mbele black plate nyuma white
 
Hii gari niliikuta Machame last week, ya jamaa mkazi wa kule....ni latest edition ya Range Rover Evoque!

IMG-20120314-00254.jpg IMG-20120314-00255.jpg
 
Evoque ndiyo Range Rover ya wanyonge wenye kuthamini mazingira, hata mie naifikiria kama vipi niidake.

Hiyo mibenzi engines za 5.x kwenye circles zenye environmental awareness ni scandal.Unaweza kwenda sehemu ukapaki mbali watu wasikuone.
 
Kweli hiyo Evoque umeipenda! Na ukija kununua lazima tutajua humu :attention:

Imekaa sawa kwa bei, kimazingira naki brand ingawa kina Prince Charles wenyewe wanaweza kuliita monstrosity" linaloharibu jina la RR, but then again such buggers are usually tree huggers so they may appreciate more the 2.0.

Halafu mie msemaji sana, wanasema wasemaji sana si wafanyaji, kwa hiyo inawezekana nakuwa kama wale wanaoweka sticker za gari kwenye friji wakisema "ntalinunua" wakifikia uwezo wa kununua wanafanya jingine.

Isitoshe ntashindwa hata kutinga nalo kwenye parties zenu washashi msije kmjua Kiranga. Na sasa nishawaharibia wabongo wengine wanaoendesha Evoque hawakawii kuwaona Viranga wote.

Mie natafuta friji linalofanya order ya chakula kwenye Wi-Fi, nisihitaji gari kabisa. Usafiri wangu uwe treadmill na vyuma vya basement iwe kazi yangu gym.

But first I gotta pull some Madoff made models change fingerprints like Jack Klutas, and leave stories like a modern day Plutarch.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom