Kitimoto chawashwa moto, vilio na mayowe ya kibinaadam...

Uvunjaji wa haki za wanyama!....Wanyama wakiugua wanatakiwa watibiwe kwa upendo na siyo kuchomwa moto wakiwa hai!
 
Huko China na kwengine duniani limezuka gonjwa lisilotibika kutokana na "mdudu" aka "kiti moto" aka "mbuzi katoliki" aka nguruwe.

Nguruwe katika vitabu (vya imani zote kuu mbili za hapa kwetu) kaharamishwa kuliwa. China ingawa kuna Waislam na Wakristo wachache na wengine wa imani nyingine lakini wengi wao hawaamini dini wala Mungu kabisa na Wachina wanajulikana kwa kula chochote kile lakini safari hii kitimoto kimewasibu mpaka wameamua kukiteketeza chote.

Jionee na sikiliza vilio na mayowe yanayofanana na ya binaadam zoezi la kuwateketeza likiendelea...


Hatimae tumejua vilio vya baadhi wa members humu ndani, kumbe ndivyo sauti za nguruwe zinavyofanana na baadhi ya members humu ndani:)
 
FAIZA FOXY AJUZA MPENDA FAKE NEWS

Sent using Jamii Forums mobile app

Na bado...

pigs_16x9.jpg

AN MING/FEATURECHINA/NEWSCOM
A deadly pig disease raging in China is bound to spread to other Asian countries, experts warn
By Dennis NormileSep. 10, 2018 , 2:50 PM

SHANGHAI, CHINA—African swine fever (ASF), a deadly virus in pigs and wild boar, continues to spread in China and will almost certainly wreak havoc in other countries in Asia soon. That's the somber conclusion from a meeting of animal health experts organized by the United Nations's Food and Agriculture Organization (FAO) in Bangkok late last week. "It's no longer ‘if’ [spread beyond China] will happen but when, and what we can do collaboratively to prevent and minimize the damage,” FAO Chief Veterinary Officer Juan Lubroth said in a statement issued on Friday, at the end of the 3-day meeting. Veterinary authorities from 12 countries agreed to form a new network to share information and work jointly to control the spread of the disease.

https://www.sciencemag.org/news/201...und-spread-other-asian-countries-experts-warn
 
Wachina wanamchoma moto, ngojeni zamu yenu, cheza na maandiko wewe.
Badala ya kufanya mambo yako au hata kutawadha, wewe unaongelea kitimoto. Kweli we si mpenzi wa hichi kitoweo? Kama huli basi unafuga.
Ninsuhakika umeshawahi kuonja
 
Badala ya kufanya mambo yako au hata kutawadha, wewe unaongelea kitimoto. Kweli we si mpenzi wa hichi kitoweo? Kama huli basi unafuga.
Ninsuhakika umeshawahi kuonja
Matusi hayo. Nile najisi? Labda wewe.
 
Mtu anakuambia Hali kitimoto et ni haram. Mtu huyo huyo ukiingia nae gesti anakupa amberutty. Kabla ya raundi ya pili anakunyonya ilhali tangu aitoe amberutty hijaoga wa kupanguswa.
Mtu huyu anakuambia nguruwe ni haram ila kula mavi sio haram.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom