Kitila mkumbo afokekewa Zanzibar ambiwa akae kimya hajui Mambo ya Zanzibar

Fake news
Kuna video inatembee San ktk mitandao ya kijamii ikisemekena kuwa proof kitila mkumbo amefekokewa vikali huku Zanzibar

Sijajuwa lilikuwa ni kongamano gani limefanyika huko na kumuibuwa waziri huyu wa uwekezaji ,ndipo akatokea mam mmoja akamuambia akae kimya aache kuzunguzma mambo ya Zanzibar Kwamba hayajui vzr Ni vzr akae kimya

Nimesikiaa hyo clipu na nimefurashishwa sna kwa jinsi mkumbo alivyo kutana na mwanamam machachari mwenye kalbar za maalim seif ambae hapepezi maneno
Alisema" Zanzibar Hakuna amani Bali Kuna utulivu tu na uvumilivu"

Mm nimeshindwa kuipandisha hyo video humu ilaa ianzaaga snaa

Ingawa prof Ni mtu makini na anajuwa kujenga hoja na asiye na hofu ila safarii hi kakutana na mwiba mkali


Namuomba prof aache kukurupuka kwa mkumbo Zanzibar Kuna watu hawana aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom