nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 202
- 425
Ila hawa wanawake tunaoa tu sababu hatuna wasaidizi ila of course wanaboa sana. Asione sms ya jinsi ya kike hata kama sio mbaya anakufokea.
Leo nilikua na safari town kununua mazaga ya familia kuna sister mmoja work mate alikua anasumbuliwa na simu yake, akanitext nimrekebishie chap alikuja na sister yake nikarekebisha ndani ya dakika 20 nikarudi zangu maskani sasa kuna sms katuma kua ushafika? Kibaya zaidi sijaireply.
Kumbe wife kasoma wakati nimelala mchana saiv ananiambia nimekutana na mtu wangu sijamjibu adi saiv. Dah hatari
Leo nilikua na safari town kununua mazaga ya familia kuna sister mmoja work mate alikua anasumbuliwa na simu yake, akanitext nimrekebishie chap alikuja na sister yake nikarekebisha ndani ya dakika 20 nikarudi zangu maskani sasa kuna sms katuma kua ushafika? Kibaya zaidi sijaireply.
Kumbe wife kasoma wakati nimelala mchana saiv ananiambia nimekutana na mtu wangu sijamjibu adi saiv. Dah hatari