Jamani nimeandika kitabu cha simulizi ya riwaya kiitwacho KINA CHA HAKI "Shinikizo" lakini nimeshindwa kupata namna ya kukifikisha kwa hadhira husika. Nikiwa na maana kuwa bado hakijachapwa lakini uandishi wake umekamilika kwa asilimia 100. Kinachonikwamisha hapa ni mtaji kwa maana ya gharama za uchapaji wake pamoja na maswala mengine.
Kwa kifupi kitabu hii kinahusu maisha ya kipelelezi ya kachero Bruno ambaye anajitolea kwa moyo wake wote kupingana na matendo ya kidhalimu yanayolikabili taifa hilo husika kama vile rushwa, madawa ya kulevya, utekeaji, blackmailing, na mengine mengi.
Riwaya nzuri na tamu sana, ijapokuwa wanasema mwamba ngoma,......... lakini hapa ni suala tofauti kidogo. Kwale ambao wamewahi kuzisoma riwaya za WILLY GAMBA, basi hapa kiu na hamasa ya hizo riwaya ambazo tumezimisi kitambo, imepata majibu. kwani kupitia riwaya hii, utamaduni wa kupenda kusoma vitabu unaweza ukarejea.
kwahiyo kwa yeyote atakaye niwesha kufahamu nini cha kufanya kuhusiana na kukizindua kitabu hicho nitashukuru sana.
ikumbukwe kwamba, kitambu hiki kitakuja na miendelezo mitano, yaani
KINA CHA HAKI shinikizo
KINA CHA HAKI shabaha
KINA CHA HAKI mageuzi
KINA CHA HAKI hatamu
KINA CHA HAKI ukomo
email:benardigeofrey@gmail.com
Kwa kifupi kitabu hii kinahusu maisha ya kipelelezi ya kachero Bruno ambaye anajitolea kwa moyo wake wote kupingana na matendo ya kidhalimu yanayolikabili taifa hilo husika kama vile rushwa, madawa ya kulevya, utekeaji, blackmailing, na mengine mengi.
Riwaya nzuri na tamu sana, ijapokuwa wanasema mwamba ngoma,......... lakini hapa ni suala tofauti kidogo. Kwale ambao wamewahi kuzisoma riwaya za WILLY GAMBA, basi hapa kiu na hamasa ya hizo riwaya ambazo tumezimisi kitambo, imepata majibu. kwani kupitia riwaya hii, utamaduni wa kupenda kusoma vitabu unaweza ukarejea.
kwahiyo kwa yeyote atakaye niwesha kufahamu nini cha kufanya kuhusiana na kukizindua kitabu hicho nitashukuru sana.
ikumbukwe kwamba, kitambu hiki kitakuja na miendelezo mitano, yaani
KINA CHA HAKI shinikizo
KINA CHA HAKI shabaha
KINA CHA HAKI mageuzi
KINA CHA HAKI hatamu
KINA CHA HAKI ukomo
email:benardigeofrey@gmail.com