Dan84
Member
- Apr 3, 2012
- 49
- 24
Imekuwa ikinisikitisha, mara nyingi, kila nisomapo mada mbalimbali hapa, JF. Kuhusiana na matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili, neno kama UDHIBITISHO, inaandikwa USIBITISHO, neno NAAMINI, inaandikwa NAMINI, neno LUGHA, inaandikwa LUGA, ah! Inasikitisha. Hivi somo la fasihi na dhima za lugha siku hizi hakuna?