Siku ya matanga mtoto mmoja jirani alikuta chakula na vinywaji vimekwisha,kila alipojaribu ili pate hata kiduchu akaambiwa na watoto wenzie hakuna akatoka analia huku akiwaonya baba yake akifa hawataambulia hata maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.