Kipre Tcheche atua Yanga kwa 180m!

haya haya, nyakati zimebadilika. Mkiandika hivi mkumbuke kuwa TRA nao wanapiga hodi!
 
Timu za Tanzania bhana.kila msimu nusu ya wachezaji wanaachwa,wanakuja wapya wengine,na kusajiri kwa misifa bila ya uhitaji wa Timu....tutaendelea kufungana wenyewe kwa wenyewe ila tukikutana na timu zenye akili....baba jeny bye bye.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom