THE PERFECT
Member
- Jun 22, 2011
- 29
- 5
Makamanda, Itv ipo Live now, na kipindi chao cha kipima Joto . ok Joto lipo Juu mada ni VIKAO VYA BUNGE, nafuahishwa na mgeni mwanaharakati Iron Lady mama Anania Nkya anayocoment Mfano anasema Hakuana haja kwa Mbunge kuanza kushukru kila mtu hadi familia pia issue ya viti kuwa wazi bungeni. yupo na Asifa Uhusiano wa Bunge anajikanyaga kanyga tu na Suti yake wadau inasikitisa huyu mama naona point zetu za Jamii forum anawasilisa Vema pia kuna Pro Tigiti