Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 329
- 1,058
Habari za mchana.
Maisha yana mapito mengi sana kama tukisema kila mtu aanze kusimulia alikopita nadhani kama tukiwa kwa gari la chanika tunaweza kufika bunju tukiwa hatujamaliza kusimuliana.
Imekuaje kwenye maisha umepoteza watu wako wa karibu sana. Ulikuwa na marafiki wa shule ya msingi, sekondari na chuo.
Ukabahatika kufanya kazi sehemu mbalimbali. Ila kwa sasa umejikuta Hauna rafiki hata mmoja tu.
Kwenye contact ya watu 500 hauna hata mmoja unaeweza kumpigia simu na kumueleza kumuomba hata laki moja.
Leo hii watoto wameenda shule,umejenga nyumba umenunua gari. Umepata mke mzuri.
Ila una inakuja kutambua hauna tena mtu hata mmoja wa maana katika circle yako.
Kwanini hauna rafiki hata mmoja maishani?
Maisha yana mapito mengi sana kama tukisema kila mtu aanze kusimulia alikopita nadhani kama tukiwa kwa gari la chanika tunaweza kufika bunju tukiwa hatujamaliza kusimuliana.
Imekuaje kwenye maisha umepoteza watu wako wa karibu sana. Ulikuwa na marafiki wa shule ya msingi, sekondari na chuo.
Ukabahatika kufanya kazi sehemu mbalimbali. Ila kwa sasa umejikuta Hauna rafiki hata mmoja tu.
Kwenye contact ya watu 500 hauna hata mmoja unaeweza kumpigia simu na kumueleza kumuomba hata laki moja.
Leo hii watoto wameenda shule,umejenga nyumba umenunua gari. Umepata mke mzuri.
Ila una inakuja kutambua hauna tena mtu hata mmoja wa maana katika circle yako.
Kwanini hauna rafiki hata mmoja maishani?