Kipande cha cupa kwa almasi

KAKA A TAIFA

JF-Expert Member
Apr 27, 2011
566
80
Mambo yanavyoendeshwa hapa tanzania ni kama vile kubadilishana kipande cha chupa kwa kipande cha almasi.fikiria uwanja wa ndege kama kia unakodishwa kwa usd 1000.mrahaba unaotokana na madini nisawa na nusu ya robo ya mapato ya madini.mtu anasafirisha wanyama mpaka ndege inaruka ndio watu wanashtuka.richmond mpaka leo hajulikani mwenye nayo.naogopa kuna siku tutaambiwa tuhamie dodoma mikoa mingine yote imewekezwa.kama halipo laja
 
Mambo yanavyoendeshwa hapa tanzania ni kama vile kubadilishana kipande cha chupa kwa kipande cha almasi.fikiria uwanja wa ndege kama kia unakodishwa kwa usd 1000.mrahaba unaotokana na madini nisawa na nusu ya robo ya mapato ya madini.mtu anasafirisha wanyama mpaka ndege inaruka ndio watu wanashtuka.richmond mpaka leo hajulikani mwenye nayo.naogopa kuna siku tutaambiwa tuhamie dodoma mikoa mingine yote imewekezwa.kama halipo laja

Hapo kwenye red:

Tena kwa fedha "fake"
 
Back
Top Bottom