KAKA A TAIFA
JF-Expert Member
- Apr 27, 2011
- 566
- 80
Mambo yanavyoendeshwa hapa tanzania ni kama vile kubadilishana kipande cha chupa kwa kipande cha almasi.fikiria uwanja wa ndege kama kia unakodishwa kwa usd 1000.mrahaba unaotokana na madini nisawa na nusu ya robo ya mapato ya madini.mtu anasafirisha wanyama mpaka ndege inaruka ndio watu wanashtuka.richmond mpaka leo hajulikani mwenye nayo.naogopa kuna siku tutaambiwa tuhamie dodoma mikoa mingine yote imewekezwa.kama halipo laja