KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 183
Hana dini, wanasema dini yake ni Chama
usitumie "wa" tumia "a"....kingunge alisema akifa akizikwa kwa katiba ya ccm ataenda mbiguni...mimi simo na ninajitoa hapa
Hana dini, wanasema dini yake ni Chama
we wakati mwingine ni mshenzi sana.. Bila kumtaja Slaa au chadema huaachi kuwashwa!! Unatakiwa ukunwe
umri pia ni ugonjwa
Ugua pole Baba Kinje, mola akujaalie upate nafuu haraka.
ALIMKANA MUNGU NA KUKATAA HESHIMA YAKE KATIKA JAMII KWA SABABU YA KUHUSUDU UJAMAA NA KUJITEGEMEA(SIASA YA DHURUMA KWA JAMII) leo hii muumba wake ankesha naye hospitalini.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete, wakimjulia hali Mzee Kingunge Ngombale Mwiru, aliyepumzishwa katika chumba cha dharura katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.
Mzee Kingunge alikimbizwa Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya. Jopo la madaktari bingwa linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunge ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.
Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa Mzee Kingunge, Kinjekitile.
Picha na Freddy Maro
Raha kweli kuwa MTOTO wa Mkubwa; Kinjikitile Ana pesa hajawaki kufanya kazi kwa MTU YEYOTE...
Unasema CCM ni CHAMA cha Ujamaa na Kujitegemea