Mwananjengo
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 316
- 98
King'amuzi cha continental kilianza vizuri, ili kwa siku za hivi karibuni wameanza kusumbua. Kukata chaneli ovyo, utakuta wameondoa Chanel zote za kitanzania wameacha zingine, wakati mwingine wazifunge kama zakulipia huku hawajatoa jinsi yakulipia. Ukweli Continental decoder haina mvuto tena, wamekuwa wababaishaji sana. Kuanzia mwezi huu tutaanza kulipia lakini hawajaboresha chochote, Mnakera continental