Malafyale
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 13,813
- 11,126
HK alilitolea maelezo ya kutosha suala hili. Mzee anaomba msaada upi wakati HK ndiye anayemhudumia mpaka sasa hayo maradhi yake ya moyo. Acheni kudandia mambo msiyoyajua nyie mnaopandikizwa ovyo ka pig jike...
Mbona unatumia lugha ya hovyo hovyo sana kujibu hoja?Uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo?
Baba HK jana tu kasema mtoto wake kamtelekeza;sasa wewe na Mzee huyu nani mkweli?HK kifamilia akae chini na baba yake wayamalize haya mambo!
Hamna njia ya mkato hapo,lzm wakae chini waongee;baba ni baba tu no matter alikufanyia nn ulipokuwa mtoto!Obama alikwenda hadi Kenya kwa baba yake ambaye aliondoka bila huduma yyt kwa mama yake itakuwa HK?