DK Slaa alichelewa kufanya kampeni akisubiri CCM watasema nini katika majukwaa ili na yeye apate pa kuanzia kusema na watanzania lazima tujiulize kwanini alifanya hivyo na jibu unalopata hizo zilikuwa dalili za mwanzo kabisa za kushindwa kwa sababu haiwezekani kukitegemea chama kingine kitazungumza nini katioka mikutano yake huku ilani ziko tofauti,katika vyama tofauti.
Pili Slaa anategemea sana makapi ya CCM Shibuda na MPENDAZOE AMBAO KWA ccm WALIKUWA MZIGO mzito usiobebeka. kwani hawana jipya cha kuwaambia watanzania, Chadema wanawazungumza CCM badala ya kunadi sera zao kwani wapiga kura wanataka kusikia sera na si historia ya watu, wajifunze kwa mgombea wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete amekuwa akizungumza kwa ligha maalum kutokana na eneo husika kwani kero na matatizo ya watanzania hayafanani. Kinana nakupa BIGUP hongera CCM hongera Kikwete.
Kura yangu naampa Kikwete 31 Oktoba
Pili Slaa anategemea sana makapi ya CCM Shibuda na MPENDAZOE AMBAO KWA ccm WALIKUWA MZIGO mzito usiobebeka. kwani hawana jipya cha kuwaambia watanzania, Chadema wanawazungumza CCM badala ya kunadi sera zao kwani wapiga kura wanataka kusikia sera na si historia ya watu, wajifunze kwa mgombea wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete amekuwa akizungumza kwa ligha maalum kutokana na eneo husika kwani kero na matatizo ya watanzania hayafanani. Kinana nakupa BIGUP hongera CCM hongera Kikwete.
Kura yangu naampa Kikwete 31 Oktoba