Kinana alipowafunga midomo wapambe wa Lowassa!

Kim, nitaku PM ujumbe fulani na utapata mtizamo sahihi kuhusu mm

vipi jamaa yenu lowassa kachagua nini sasa kati ya ubunge ama u-nec,inabidi apime na kufanya maamuzi magumu mapema yeye na wapambe wake walio kwenye ubunge na u-nec akiwemo peter,jakaya ndio kaamua kumchinjilia mbali,kaweka urafiki wao pembeni na kuweka mbele maslahi ya nchi kwanza.Nasikia lowassa anatuma wazee wa kilutheri kwenda kumuomba sitta waungane,sitta atmuuliza jambo moja tu kuhusu ile sumu aliompa mwakyembe!
 
..."Sikukutana na kikwete barabarani..."-edward ngoyai lowasa
Ni kweli wamekutana katika mikakati ya ufisadi hivyo kuondoka kwa JK kumwingiza EL nni sawa nakuruka mkojo ukakanyaga mavi na ukatamba kua umejitahidi! akili sifuri, taifa litatakiwa kupiga hatua mbele si nyuma
 
mkuu mawazo ni mawazo, acha kiongozi afunguke, ni vyema watz wengine wakaelewa nini mawazo yake na waamuzi watakuwa wenyewe kama tunatafuta shekhe au padri au kiongozi wa Taifa. acheni afunguke.
 
Mjue tu ya kwamba chama CCM kina wenyewe na hao wenyewe ndio watakuwa ktk Chombo maalum viongozi wakuu wastaafu.
 
Mjue tu ya kwamba chama CCM kina wenyewe na hao wenyewe ndio watakuwa ktk Chombo maalum viongozi wakuu wastaafu.

hivi lowassa nae atakua kwenye hicho chombo??maana alikua waziri mkuu lakini ajali ya kisisa ikachukua uwaziri mkuu wake,sasa sijajua maana ilikua ni kashfa ya richmond ajali yenyewe
 
..Kinana ni fisadi papa wa enzi za awamu ya pili.

..anahusika na kuwaleta nchini Waarabu wa Loliondo.
Umesahau na ile kashfa yake ya mashine yas kufulia nguo iliyokuwa imetolewa na wafadhili kwa ajili ya hospitali ya mount meru arusha,wakati akiwa mbunge wa arusha mjini.ikaishia kupelekwa kufungua Falcon Dry cleaners pale karibu na manjis BP station uhuru road.
 
Umesahau na ile kashfa yake ya mashine yas kufulia nguo iliyokuwa imetolewa na wafadhili kwa ajili ya hospitali ya mount meru arusha,wakati akiwa mbunge wa arusha mjini.ikaishia kupelekwa kufungua Falcon Dry cleaners pale karibu na manjis BP station uhuru road.

Bado haimuondolei uhalali wa kusimamia maamuzi yaliyofikiwa na NEC kwamba wabunge wachague U-NEC au ubunge,yeye aliamua kuacha ubunge kwa hiyari yake ili afanya biashara,kwa kuwa ni kichwa ndio maana kila mgombea urais anzia mkapa huwa anambembeleza awe meneja wake wa kampeni,ile ndio think tank ya ccm kama hamjui na yule msomali ana akili nyingi sana tofauti na Bashe au Aden Rage!
 
Lowassa anaijua vizuri CCM kuliko wewe unavyoijua/kufikiri.

Jakaya alitaka tu kumuonyesha kwamba hakuna anachokijua,kaangaishwa na mtoto mdogo tu Nape ndio unasema anakijua chama,sasa mtamfuata huko cck anakoomba hifadhi ya kisiasa,we utashindana na mtu mwenye dola bwana?
 
kuna jambo moja wapambe wa lowassa walijidnaganya sana,wao walidhani lowassa ni mkubwa kuliko chama na chama ndio kinamtegemea kumbe hali imedhihirika ni tofauti sana kwanza baada ya kuondolewa kwenye kamati kuu na nec kubariki maamuzi ya kuivunja kamati kuu na kuiunda upya ambapo jina lake halikurudi,hilo lilikua pigo la kwana kwa wenye akili tukajua yametimia.

Ila haya maamuzi ya nec ya kuwaondoa wastaafu wote kwenye kamati kuu na uamuzi wa kutenganisha kofia ya ujumbe wa nec na ubunge ndio maamuzi magumu na mabaya kwa harakati za lowassa kupita yote kupata kutokea,hii maana ni kwamba lowassa hana nguvu tena ndani ya ccm,kabaki kama nyoka wa kibisa ambae anatisha tu kwa kuwa ni nyoka jina lakini hana madhara yeyote.Pia wapambe wake kama peter serukamba,januari makamba na yeye mwenyewe sasa watalazimika kuchagua ama kugombea ubunge au ujumbe wa nec.

Na kwa maamuzi hayo mwenyekiti wa ccm sasa anakua na nguvu kama nyerere kipindi akiwa mwenyekiti.
 
Back
Top Bottom