Elections 2010 Kinana akubali ufisadi unaofanywa na CCM?

Dopas

JF-Expert Member
Aug 14, 2010
1,151
392
WanaJF tumesikia habari mbalimbali ambazo zilionesha njama za kifisadi za CCM dhidi ya mali za umma au/na dhidi ya vyama vya upinzani, mfano wa Salma na Ridhiwani-matumizi mabaya ya fedha ya umma-ndege ya serikali.

Mara nyingi tuhuma hizi alipoambiwa meneja wa kampeni ya CCM Abdulrahaman Kinana aling'aka na hata kulazimika kufoji risiti-jambo ambalo litamgharimu siku si nyingi uchunguzi ukikamilika.

Nashawishika kusema kuwa Kinana anakiri kwamba tuhuma zote dhidi ya CCM sio 'good news' kwa watanzania.

Kwa hakika ufasadi wa mali za umma kama wa familia ya JK, mafisadi wengine wa CCM hauwezi kuwa 'good news' kwa watanzania. Pia Mhariri wa gazeti la 'ccm' kuitangazia nchi rais wa awamu ya tano kabla wananchi hawajapiga kura sio 'good news' kwa watanzania. Kwa Ujumla hizo ni mbinu za mafisadi ambao kiongozi wao kwa sasa ni Kinana anayehakikisha mbinu zao hizo zinafanikiwa.

Soma sehemu ya habari hii toka gazeti la mwananchi, 24/09/2010.


Meneja kampeni wa CCM, Abdulrahman Kinana jana alikataa kuzungumnzia tuhuma zilizoelekezwa kwa chama hicho akieleza kuwa gazeti hili, halitendi haki kwa CCM.

"Lakini ninyi (Mwananchi) you never have good news for CCM (hamna habari njema kwa CCM) kila siku mkipiga simu ni habari mbaya, mnaandika habari mbaya tu za CCM, nzuri hamzioni," alihoji.

"Mara Mama Salma kafanya hivi, mara Ridhwani kafanya vile, why can't you be carrier of good news? Always you carry bad news? (wakati wote ni mabaya tu, hamwezi kuandika mema ya CCM?
"Tafadhali waulizeni Daily News suala hilo."
 
Hiyo editorial ya Daily News inaonekana imewaumiza CCM na ndio maana Kinana ameshindwa kutoa kauli yoyote. Reading between the lines CCM na serikali inaonekana hawajui watafanya nini ili ku-control damage. Hili swala likifika NEC na MCT, Daily News wanaweza kupigwa slap na hivyo CCM watakuwa wamepoteza magazeti ya kutolea propaganda.

On top of that, International Community wamesoma habari hiyo na inazidi kuiweka CCM mahali pabaya zaidi mbele ya Jumuiya za Kimataifa. CHADEMA wafuate ushauri wa Jaji Makungu (Makamu Mwenyekiti wa NEC) wapeleke malalamiko yao NEC na pia walishitaki gazeti hilo Baraza la Habari (MCT) kwa kuenda kinyume na taaluma ya uandishi wa habari.

Hata kama mzunguko wa gazeti hilo ni mdogo sana, mimi nataka nione NEC watafanya nini. Ku-lodge malalamiko NEC kunaweza kufanya na mtu yeyote wa CHADEMA bila kuathiri Kampeni za CHADEMA.
 
WanaJF tumesikia habari mbalimbali ambazo zilionesha njama za kifisadi za CCM dhidi ya mali za umma au/na dhidi ya vyama vya upinzani, mfano wa Salma na Ridhiwani-matumizi mabaya ya fedha ya umma-ndege ya serikali.

Mara nyingi tuhuma hizi alipoambiwa meneja wa kampeni ya CCM Abdulrahaman Kinana aling'aka na hata kulazimika kufoji risiti-jambo ambalo litamgharimu siku si nyingi uchunguzi ukikamilika.

Nashawishika kusema kuwa Kinana anakiri kwamba tuhuma zote dhidi ya CCM sio 'good news' kwa watanzania.

Kwa hakika ufasadi wa mali za umma kama wa familia ya JK, mafisadi wengine wa CCM hauwezi kuwa 'good news' kwa watanzania. Pia Mhariri wa gazeti la 'ccm' kuitangazia nchi rais wa awamu ya tano kabla wananchi hawajapiga kura sio 'good news' kwa watanzania. Kwa Ujumla hizo ni mbinu za mafisadi ambao kiongozi wao kwa sasa ni Kinana anayehakikisha mbinu zao hizo zinafanikiwa.

Soma sehemu ya habari hii toka gazeti la mwananchi, 24/09/2010.


Meneja kampeni wa CCM, Abdulrahman Kinana jana alikataa kuzungumnzia tuhuma zilizoelekezwa kwa chama hicho akieleza kuwa gazeti hili, halitendi haki kwa CCM.

"Lakini ninyi (Mwananchi) you never have good news for CCM (hamna habari njema kwa CCM) kila siku mkipiga simu ni habari mbaya, mnaandika habari mbaya tu za CCM, nzuri hamzioni," alihoji.

"Mara Mama Salma kafanya hivi, mara Ridhwani kafanya vile, why can't you be carrier of good news? Always you carry bad news? (wakati wote ni mabaya tu, hamwezi kuandika mema ya CCM?
"Tafadhali waulizeni Daily News suala hilo."

Kachemkaaaaaaaaaaaaaaa kinana, kwani DAILYNEWS ni gazeti la CCM??????????????????????????, au ni la sisiemu hatufahamu?
 
Mzee Kinana anajua hali ilivyokuwa ngumu, natambua ni jinsi gani asivyolala, akili yake umwambia, hebu hawa CHADEMA wakishinda mimi Kinana nitakwenda wapi? kisha hujifariji tutafanya lolote lile.

Mzee Kinana asisahau kuwa huko ndipo tulipo na sasa tunataka kuwapa watanzania haki yao.
 
Back
Top Bottom