barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,818
Majjid ni mnafiki tu...anashindwa kumalaumu Meya wa Iringa ambaye ndie Diwani wa Mlandege sbb ni rafiki yake,na hukaa pamoja ktk vijiwe...hio hali ya kutokuwa na busara imetoka kwa Msigwa tuu...vip kuhusu Meya wa Iringa Aman Mwamwindi?....Mjengwa unafiki utakupeleka kubaya sana...tulio Iringa tunajua hali halisi
Kuwa Mbunge wa chama cha upinzani ktk nchi kama Tanzania unahitaji moyo mkuu sana..kama binadamu Msigwa anafanya kazi katika mazingira magumu sana...kuanzia mkuu wa mkoa,wilaya,mkurugenzi wa manispaa,meya hata RPC wanakuwa ni maadui na wanamkwamisha...Mashine Tatu ilikuwa ni sera ya mSIGWA,ILI KUONEKANA HAJATIMIZA...CCM wameamua kuwapeleka nje ya mji wamachinga..lakini hapo mashine tatu Gulio huwa ni siku moja tu nayo ni J'pili...sasa kuna shida gani?na Msigwa akawmbia kama haiwezekani basi waende viwanja vya Mwembetogwa,laikn MCCM hayataki....
Majjid acheni unafiki,mana huo unafiki haulipi...Lie has a speed to spread,but truth has induarance
ILI KUWAWEKA SAWA POLISI ELIMU INAHITAJIKA SANA.....KWA JICHO HILI LA ISHENGOMA...KAZI IPO
Kuwa Mbunge wa chama cha upinzani ktk nchi kama Tanzania unahitaji moyo mkuu sana..kama binadamu Msigwa anafanya kazi katika mazingira magumu sana...kuanzia mkuu wa mkoa,wilaya,mkurugenzi wa manispaa,meya hata RPC wanakuwa ni maadui na wanamkwamisha...Mashine Tatu ilikuwa ni sera ya mSIGWA,ILI KUONEKANA HAJATIMIZA...CCM wameamua kuwapeleka nje ya mji wamachinga..lakini hapo mashine tatu Gulio huwa ni siku moja tu nayo ni J'pili...sasa kuna shida gani?na Msigwa akawmbia kama haiwezekani basi waende viwanja vya Mwembetogwa,laikn MCCM hayataki....
Majjid acheni unafiki,mana huo unafiki haulipi...Lie has a speed to spread,but truth has induarance
ILI KUWAWEKA SAWA POLISI ELIMU INAHITAJIKA SANA.....KWA JICHO HILI LA ISHENGOMA...KAZI IPO