Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,170
- 4,582
Judea and SamariaSisi tulipofika Israel na kuzuru maeneo Matakatifu katika Nchi ile nzuri tunaitetea Nchi ile Takatifu aliyoibariki Mungu wa Mbinguni mwenyewe Ezekiel 34:29
Kwamba Waisrael hawa wa Leo ni Taifa la Mungu wa Mbinguni hilo ni jambo lingine kabisa linalohitaji Mjadala wa Hekima
Kuna tofauti Kati ya Taifa na Nchi
Nawatakia Dominica Njema 😀