KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nyie akina Dada nomba mnijibu swali langu kama siwewe mwenzako nanitabia mnayoooo!!!agh!!
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty:
Nimekupenda nimekutongoza tumekubaliana wakati tunazugana...Unanipipigia unataka tutoke OUT Dinner sawa Sasa ajabu unataka utoke nakundi lako hivi unapata wapi courage yakunipigia na kundi lako ili niwapeleke dinner??!!kwanini usije peke yako??
Mimi hata sielewi katika hili halafu niwanawake wote au kuna sifa ufahari ukienda kwa boyfriend wako umemjazia nzi:frusty: